Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Kaka umeishia darasa langapi mnk swal unalouliza wew halina maana kbsa kwa msomi wa chuo
Unajuaje kama mimi ni msomi ? Nilikwambia ? Huko napo ni kukariri na kutoa majibu pasipo na machanganuo sasa sijajua kama wasomi mpo hivyo ni watu wa assumptions tu


Ukiulizwa swali jaribu kujibu swali kama jibu unalo kama hauna ni bora kukaa kimya kuliko kujikuta mjuaji sasa hili ndio jibu gani ? Kwahyo watu kama sisi wenye uelewa mdogo hatutakiwi kuuliza maswali kama kama kuna jambo linatutatiza kisa maswali ni ya kijinga ? Ili swali nilouliza lina shida gani ? Au una kipimo cha maswali ya kuuliza ?

Mbona Shombe la Kisomali kanijibu kistaarabu


Be humble there is always bigger Fisher than you
 
Majina ya interview yametoka lakini kama vyeti havikupitishwa kwa wakili mzee umelimwa
 
Unajuaje kama mimi ni msomi ? Nilikwambia ? Huko napo ni kukariri na kutoa majibu pasipo na machanganuo sasa sijajua kama wasomi mpo hivyo ni watu wa assumptions tu


Ukiulizwa swali jaribu kujibu swali kama jibu unalo kama hauna ni bora kukaa kimya kuliko kujikuta mjuaji sasa hili ndio jibu gani ? Kwahyo watu kama sisi wenye uelewa mdogo hatutakiwi kuuliza maswali kama kama kuna jambo linatutatiza kisa maswali ni ya kijinga ? Ili swali nilouliza lina shida gani ? Au una kipimo cha maswali ya kuuliza ?

Mbona Shombe la Kisomali kanijibu kistaarabu


Be humble there is always bigger Fisher than you
Acha ujinga eti wapi unaenda kupata huduma alfu Kama ujasoma shule kosa Ni la Nani Ni vyema siyo kilia swali unauliza huku huku siyo Facebook mzee Ni Bora ungemuita mtu pepeni yako au kumfata inbox na kumuuliza nin maana ya kufanya hvyo
 
Acha ujinga eti wapi unaenda kupata huduma alfu Kama ujasoma shule kosa Ni la Nani Ni vyema siyo kilia swali unauliza huku huku siyo Facebook mzee Ni Bora ungemuita mtu pepeni yako au kumfata inbox na kumuuliza nin maana ya kufanya hvyo
Sasa unataka swali niulize wapi wakati mada imezungumziwa hapa ya KU certify cheti ? Na mimi nimeuliza swali la ku cerify cheti hapa hii mada sijaikuta facebook nimeikuta hapa Sasa wewe ni nani mpka upangie watu cha kuuliza ?

Sasa kama we umesoma kwa nini unanidharau mimi . Kuna sehem nimekudharau mkuu ?
 
Acha ujinga eti wapi unaenda kupata huduma alfu Kama ujasoma shule kosa Ni la Nani Ni vyema siyo kilia swali unauliza huku huku siyo Facebook mzee Ni Bora ungemuita mtu pepeni yako au kumfata inbox na kumuuliza nin maana ya kufanya hvyo
Halafu chengine mkuu sikukuuliza wewe kinachokuuma ni nini ? nilimuuliza shombe nilimquote sasa wewe unakuja unadakia swali unanijibu kwa kunidharau


Pilipili usiyoila inakuwashia nini
 
Sorry Mkuu na mimi pia napata changamoto hiyo kwenye Pdf ya Jumla nipo ila huku kweny Timetable bado sipo
List unayotakiwa kutumia ni ya pdf tu chief. Maana kwenye akaunt haionyeshi exactly ukumbi wa kufanyia interview. So pitia PDF angalia namba serial namba Yako ujue umeangukia ukumbi gani
 
List unayotakiwa kutumia ni ya pdf tu chief. Maana kwenye akaunt haionyeshi exactly ukumbi wa kufanyia interview. So pitia PDF angalia namba serial namba Yako ujue umeangukia ukumbi gani
Sorry mkuu, pdf imeshaachiwa?.
 
File inagoma kufunguka hpo JF nitumie nmba yko ya whatsapp nikutumie utasoma maswal kwanzia 70 to 90 ni za custom tupu...mwka jna maswali yalitoka huku
Ila custom mna raha,hamna mambo mengi kama wazee wa Tax.
 
Back
Top Bottom