Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Wasomi wa Tz wawe wajinga? Wakati serekali yko ndo wanavotka hvyo utowe copy ya vyeti uicertify kwaadvocate na ndo uieke ajiraportal. Sasa ujinga hpo ipo wp inawezkna nilichelewa kuskia kuhusu huu utaratibu mpya na kuvieka ya certified ila usiseme wasomi wa Tz ni wajinga niutaratibu mpya ilotelewa na ajira htuna namna zaidi kujifunza na basi kuitana wajinga for wt lbda ww ndo mjinga hujielewi unachotamka
Kaka mbona unawatetea sana au nawe uko pale Utumishi ni mchambuzi wa applications za vijana..?
 
Huwezi kusema unatuma kopi ya certification ikaitwa certified. Hili waandikieni watu wa ajira. Lalamikeni hadi ofisi ya Rais Utumishi.
Email zipo. Hadi Ikulu.

Main point kabisa,, waache kuwafanya vijana wasio na Ajira ni Makolo.. watu hawana Ajira, pesa hawana wakienda huko kwa mawakili nao wanaendekeza njaa kama hawapati mishahara mwisho wa mwezi, utasikia wanakwambia Kila cheti ni 10,000/= kwanza huu uhalali wakucertify vyeti unatokea wapi hvi cheti OG na copy ipi Inamake-sense..? Alafu wafahamu kitu kimoja mawakili hawana mda wa kucompare vyate, kitu wanachowaza wao ni pesa tu ukiwapa pesa wanakugongea muhuri hizo copies na hata OG hawakuulizi ziko wapi.. So kwa mantiki hii mtu yeyote anaweza kucertify vyeti vya mtu yeyote bila kipingamizi.

As long as vyeti OG vinakaguliwa kabla ya Interview no problem.
 
Wasomi wa Tz wawe wajinga? Wakati serekali yko ndo wanavotka hvyo utowe copy ya vyeti uicertify kwaadvocate na ndo uieke ajiraportal. Sasa ujinga hpo ipo wp inawezkna nilichelewa kuskia kuhusu huu utaratibu mpya na kuvieka ya certified ila usiseme wasomi wa Tz ni wajinga niutaratibu mpya ilotelewa na ajira htuna namna zaidi kujifunza na basi kuitana wajinga for wt lbda ww ndo mjinga hujielewi unachotamka
Serikali ni watu. Kuna mambo uanahitaji marekebisho. Pamoja na hili.
 
Sidhani kama ni hivyo. Guideline ya kucertify vyeti ipo miaka mingi. Kwanini usicertify vyeti ndo uviweke? Scenario imekaa hivi: utumish wanaamini ukicertify vyeti kwa mwanasheria/wakili vyeti hivyo ni original, wakiona hujacertify basi watakuwa na mashaka hata kama utawaonyesha original baadae.

Hakuna haja ya kulalamika. Ni kujipanga kwa wakati mwingine zaidi. Sio kwamba nawatetea ila ni sheria zao walizoziweka.

Mwisho nawatakia kila la heri kwa wale wote waliochaguliwa na Mungu awe nanyi
 
Sidhani kama ni hivyo. Guideline ya kucertify vyeti ipo miaka mingi. Kwanini usicertify vyeti ndo uviweke? Scenario imekaa hivi: utumish wanaamini ukicertify vyeti kwa mwanasheria/wakili vyeti hivyo ni original, wakiona hujacertify basi watakuwa na mashaka hata kama utawaonyesha original baadae.

Hakuna haja ya kulalamika. Ni kujipanga kwa wakati mwingine zaidi. Sio kwamba nawatetea ila ni sheria zao walizoziweka.

Mwisho nawatakia kila la heri kwa wale wote waliochaguliwa na Mungu awe nanyi
Ety mkuu, hivi wakati wa Usaili au hata ukiripoti kituo cha kazi(Yaan kwa mkurugenzi) ukienda na Certified copy utakubaliwa..?
 
Ety mkuu, hivi wakati wa Usaili au hata ukiripoti kituo cha kazi(Yaan kwa mkurugenzi) ukienda na Certified copy utakubaliwa..?
Kisheria ni lazima ukubaliwe ila uwe na sababu kwanini hujaleta originals kwa mwajiri wako. Pili, nakushauri uwe na original maana siku ya written interview ni lazima uonyeshe original, bila hivyo hata kama unasababu ya msingi vp, hawatakubali uingie ndani ya chumba cha mtihani.
 
Wasomi wa Tz wawe wajinga? Wakati serekali yko ndo wanavotka hvyo utowe copy ya vyeti uicertify kwaadvocate na ndo uieke ajiraportal. Sasa ujinga hpo ipo wp inawezkna nilichelewa kuskia kuhusu huu utaratibu mpya na kuvieka ya certified ila usiseme wasomi wa Tz ni wajinga niutaratibu mpya ilotelewa na ajira htuna namna zaidi kujifunza na basi kuitana wajinga for wt lbda ww ndo mjinga hujielewi unachotamka
Yamenikuta kila wakt wananita leo wananimbia siajcertify vyeti upuuz huu
 
Main point kabisa,, waache kuwafanya vijana wasio na Ajira ni Makolo.. watu hawana Ajira, pesa hawana wakienda huko kwa mawakili nao wanaendekeza njaa kama hawapati mishahara mwisho wa mwezi, utasikia wanakwambia Kila cheti ni 10,000/= kwanza huu uhalali wakucertify vyeti unatokea wapi hvi cheti OG na copy ipi Inamake-sense..? Alafu wafahamu kitu kimoja mawakili hawana mda wa kucompare vyate, kitu wanachowaza wao ni pesa tu ukiwapa pesa wanakugongea muhuri hizo copies na hata OG hawakuulizi ziko wapi.. So kwa mantiki hii mtu yeyote anaweza kucertify vyeti vya mtu yeyote bila kipingamizi.

As long as vyeti OG vinakaguliwa kabla ya Interview no problem.
Wewe ambaye sio wakili unaweza kucertify vyeti pia?
 
Siwatetei kbsa na wala siko nao nachokwmbia usiseme watz wasomi ni wajinga ni makosa ya Utumishi wasomi wamekuwa wajinga kwa lipi hpo ujuwe unachoongea
Sawa, Ila sio Mimi niliyeandika hvyo ni quote ya mtu mwingine, Angalia vizuri quote
 
Yaan nilichomaanisha ni kuwa "Mimi ninaweza kuchukuwa vyeti vyako ww nikavipeleka kwa wakili kucertify bila ya kunihoji kuwa ni vyangu au lah"
Mkuu kopi ya cheti ndio inakuwa certify ? Na hadi vya sekondari pia ?


Na niende wapi napata huduma hiyo na gharama inakuwaje
 
Mkuu kopi ya cheti ndio inakuwa certify ? Na hadi vya sekondari pia ?


Na niende wapi napata huduma hiyo na gharama inakuwaje
Yaan ni vyeti vyako vyote vya taaluma.. yaan kuanzia cheti ya 4m4 mpaka level ya juu ya elimu uliyofikia kama utahitaji uviweke vyote kwenye mfumo..
Kuhusu maeneo ya huduma ni kwenye Mahakama ya ngazi yoyote wanafanya hii kitu, unaweza kwenda Mahakama ya Mwanzo,wilaya, Mkoa utahudumiwa bila shida.
Kuhusu bei ni kujieleza kwako tu, ukiwa nyumanyuma utapigwa hata 50k🤣 maana njaa imezidi miaka hii hajulikani mwajiriwa Wala asiye mwajiriwa..
 
Back
Top Bottom