Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Ukija kusema basi yameisha ndio wanatambua kuwa hawajuiAfrica ukiwa loyal/gentle katika mahusiano hawa gals wa kiafrica Wana kuchukulia kuwa boya yaani haujiwezi kwake umekufa umeoza ,kumbe masikini hiyo ndio inborn character yako
Ndio hivyo maji ya Kisha mwagika ,.........Ukija kusema basi yameisha ndio wanatambua kuwa hawajui
Ndio maana nimesema hata wao wangeufuata ingekuwa poa sana na ingepunguza kulia lia.Hata wao inawahusu...
Angalia hii movie, "The Diary of a Tired Black man" itakusaidia.Habar za saa hizi jameni...
Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.
Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.
Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.
Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki
=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
wanawake washazoea vimbwanga vyao.Poleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??
Kweli Karucee, wanawake wanaojifanya wajanja huwa hawafiki mbali baada ya muda wanajuta.Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo
It seems you are a good and loving man.
Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.
Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.
Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.
Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.
Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?
Unadhani watakuwa watu aina gani?
Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Huyo mkeo asili yake ni wapi?Wapo africa misipo Africa ... Mi kitambo sipo Africa nadhani hi ndo changamoto kubwa sana inasabisha mana a naona Sina pakuchomokea.... Mana huku loss dogo umenyanganywa kila kitu aisee!!! Hata watoto unaweza kupigwa ban nao..... Niki plan nimuachie watoto naona wata sumbuka saana.... Nilimwambia turudi nyumbani hataki... Yeye yende hataki.... Ni mtihani kiukweli....
We phaller,
Usinifanye nicheke kwa machungu hebu niache bhaana..! Watu ambao huwa mnaongea sana ndiyo ninyi behind the keyboard hamnaga ujanja..!
Nakubaliiiiiihtumeshachelewa , Maendeleo pia Yana faiada na hasara zake , imagine hapo ndio watu tumepitia ktk mafundisho ya kiimani ambayo yapo kwaajiki ya kuwaandaa watu kuwa watiiifu na wanyenyekevu lakini balaa lke ndio Kama Hilo unalo liona ndoa zimekua Jela ,,
I think it's better watu waache haya mam o ya kuoana oana Ndio amani itakuepo tuwe tuna zalishana tu then kila mtu aishi kivyake. No stress at all
Mbadilishie style .. mkuu kama mlikuwa mnakufa wote kifo cha mende.. badilika mpige katerelo-dogstyle, popo kanyea mbingu, tufani, kipipa,zimamoto au mbagara mwisho.. ataacha kidomo domo na atakuheshimu mkuu.. niamini
Mwingine huko hataki mkewe amuite kwa maneno ya mahaba Kama HONEY Tena kaleta na uzi kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Upo nchi gani kwani? Na umeoa mwanamke original wa nchi gani?Asante sana Mungu akubariki... Kitu kitakacho sababisha niwe mbali na watoto wangu sitaki kukiskia kiukweli.... Huku mwanamke hapigwi.... Utawekwa jela fasta (women abuse)