makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,190
- 81,119
Uliona wapi hiyo.Kwani si huwa mnasema tabia mtatumia zenu!! Ndio tabia zenu hizo zinabackfire.
Uliona wapi hiyo.Kwani si huwa mnasema tabia mtatumia zenu!! Ndio tabia zenu hizo zinabackfire.
Heshima kwako Dada,hapa nimepata madini,sasa atanitambua huyu kidomodomo wangu.Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo
It seems you are a good and loving man.
Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.
Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.
Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.
Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.
Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?
Unadhani watakuwa watu aina gani?
Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Tunapoelekea hili ndio suluhisho for sure , labda nchi husika iwe katika utawala unao ongozwa na Sheria za kidini , na sio kwa mifumo hii ya kibepari waweza kuona hata Mataifa makubwa yaliyopiga hatua katika nyanja mbali mbali za kiuchumi etc jinsi mahusiano yanavyo wasumbua ,,Unahisi hili ndiyo suluhisho la matatizo rafiki yangu.!?
Umeoa hearly..?
Sijaoa Mom na niko 50/50 na weza nisioe kabisa au nikaoa ,Unahisi hili ndiyo suluhisho la matatizo rafiki yangu.!?
Umeoa hearly..?
Sio wewe tu hata Mimi huwa niko hivyo , Ikifika stage nikisema now it's enough ndio huwa mazima muhusika anabaki kushangaa shangaa tu umejuaje nime change ghaflaMimi ni muhanga wa hili ila mwishoni huwa nageuka "surprise"
Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo
It seems you are a good and loving man.
Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.
Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.
Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.
Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.
Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?
Unadhani watakuwa watu aina gani?
Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Mzee Hadi ufanye yote hayo kwa jitu lenye meno 32 inamaana hauna mambo mengine ya kufanya alafu ndio nyie mkifika uzeeni mnatia huruma kisa eti nguvu zenu mlizielekeza kwa wanawake badala kwenye Mambo yenu kuweni Kama kipanyaPole mkuu,
Ukiona mke unaishi nae vizuri tu, kisha baadae anabadilika na kuwa na kisirani cha hivyo, ujue anakereka na kitu fulani toka kwako.
Pengine umeyumba kiuchumi kuliko ilivyokuwa huko nyuma au amepata mtu anaemkuna vizuri kuliko wewe, hivyo na mapenzi huwa yanahamia kwa mwingine. Hivyo namna nzuri ya kutatua hilo tatizo la mkeo ni wewe kubaini tatizo na kulitatua utaona huo ukali wake unapotea ghafla.
Wanawake huwa wanapenda mtu kwa hisia, na hizo hisia zinapokosekana wanakuwa hivyo.
Ni pasua kichwa ila mi ni zaidi yake.Kuongea sio shida kama hana mdomo mchafu wala mjeuri.
Labda ni charming tu.
Kuna wanawake wapuuzi sana ukiwaonyesha mapenzi tu umekwisha.Ukweli ni kwamba wanawake ukiwaonesha unawapenda sana umekwisha ni lazima uwe katili kidogo
Sawa msg hajibu lakini uliwahi jaribu japo kumpigia ili ujue hasa tatizo ni nini mkuu?? Ama simu zako pia hakupokea..!!?Kanichoka hata Msg hajibu. Wanawake hawa!
Ushauri mzuri Sana ...ila ndio hivo jamaa yetu kashindwa mbinu na mwanamke na amebaki akijiliza liza Kama binti anaevunja ungo kwa boyfriend wake asimuache ....kiufupi huyu jamaa ni mzembe haswa anajifanya anamisimamo kumbe misimamo yake ndio opponent wake anachukilia advantage ila lenyewe halijijui ....Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo
It seems you are a good and loving man.
Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.
Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.
Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.
Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.
Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?
Unadhani watakuwa watu aina gani?
Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Siyo wewe niliona pahala umesema umeoa?? Kama si mwaka Jana basi juzi.!Sijaoa Mom na niko 50/50 na weza nisioe kabisa au nikaoa ,
Haha, asikudanganye mwaya mwenzio yupo kwenye Ndoa takatifu..!Huyu kashachoka kusikia thread za malalamiko ya hivi. Kwamba kama mwanamke anaonesha unyenyekevu wakati anataka ndoa halafu akiipata ndio anaanza timbwili basi hapo solution ni "uchumba sugu" tu. Hahahahaaaaa. Watu wana ma-idea hatari
Mr. anti-marriage,Tatizo ni UBISHI..
Tuliwaambia "MSIOE" ila hawakusikia.
Ngoja kwanza WANYOOSHWE..!!!
#YNWA
Ushauri mzuri Sana ...ila ndio hivo jamaa yetu kashindwa mbinu na mwanamke na amebaki akijiliza liza Kama binti anaevunja ungo kwa boyfriend wake asimuache ....kiufupi huyu jamaa ni mzembe haswa anajifanya anamisimamo kumbe misimamo yake ndio opponent wake anachukilia advantage ila lenyewe halijijui ....
Mtoa mada wewe ni falaaaa.......nasema Tena wewe ni falaaaa
Sawa msg hajibu lakini uliwahi jaribu japo kumpigia ili ujue hasa tatizo ni nini mkuu?? Ama simu zako pia hakupokea..!!?
Ahsante kwa komenti yako hii mkuuSiyo Wanawake tu hata Wanaume ni hivyo hivyo.