Mke wangu ni msumbufu, mwenye ulimi mkali na mkorofi

Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo

It seems you are a good and loving man.

Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.

Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.

Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.

Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.

Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?

Unadhani watakuwa watu aina gani?

Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Unanidai Dompo siku ya Valentine's day plus dinner na one night offer na umpendaye.

Kikao cha wanaume kinafikiria wapi tukujengee sanamu.
 
Nikuulize je ukifa hao watoto una uhakika hawatapata tabu? Unateseka kisa unaogopa watoto kuja kupata tabu.... je una uhakika hao watoto wakikua watakuja kukusaidia? Watu mnajua kulea magonjwa sana. Fukuza huyo mtu tena mpe talaka zote. Unamchekea wewe na kakuona bwege. Ndoa ni kuheshimiana sasa kama hakuheshimu kuna kuna umuhimu gani. Mrudishe kwao. Unaingiaje kwenye ndoa na Mwanamke kisirani mwehu ama mgomvi. Ndugu unalea mwenyewe maradhi.
 
Mimi sijifanyi bandidu. Kwa akili yangu ilivyo siwezi kupelekeshwa kiwaki asee. Ndio maana nikasema labda nilogwe. Otherwise hakuna kiumbe kitaweza kuniambia kitu.

Ukinizingua unapita alolo chap kwa haraka..
Chapchap shughuli mingi..

Mimi kama wewe mwanamke hawezi kuniendesha labda aniloge.
 
Habar za saa hizi jameni...

Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.

Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.

Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.

Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki



=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
Dawa yake huyo muitie polisi tu akuna namna usijejikuta unafanya kama haya yanayoendelea hapa nchini kila kukicha.ita polisi wakabidhi mtu wao watajua wampeleke wapi kuliko wewe kuja kuishia jela mkuu.nadhani umenielewa
 
Habar za saa hizi jameni...

Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.

Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.

Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.

Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki



=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
Mrejesho ...

Kheri za mwaka mpya....wanajamvi...
baada ya suluhu za hapa na pale vikao kila siku aliamua kuondoka ndani kakimbia nyumba na kuniacha na watoto 2 (6years old son...2 years..girl) niliona sina budi ya mimi kupambana kiume aliondoka mwezi wa 3 after 3 weeks alirudi na kuniomba nimpe mtoto wa kike mimi nibak na wa kiume ...amekaa kimya sana simtafuti wala yy hanitafuti i've decided to move on ..ila ninapo iangalia future ya watoto wangu roho inaniuma saana....iam really stressful dont know what to do....

kosea kujenga utabomoa ila usikosei kuoa ...MUNGU ATUBARIKI SOOTE...
 
Mrejesho ...

Kheri za mwaka mpya....wanajamvi...
baada ya suluhu za hapa na pale vikao kila siku aliamua kuondoka ndani kakimbia nyumba na kuniacha na watoto 2 (6years old son...2 years..girl) niliona sina budi ya mimi kupambana kiume aliondoka mwezi wa 3 after 3 weeks alirudi na kuniomba nimpe mtoto wa kike mimi nibak na wa kiume ...amekaa kimya sana simtafuti wala yy hanitafuti i've decided to move on ..ila ninapo iangalia future ya watoto wangu roho inaniuma saana....iam really stressful dont know what to do....

kosea kujenga utabomoa ila usikosei kuoa ...MUNGU ATUBARIKI SOOTE...
Mkuu kuoa ni bahati nasibu, hao wadudu hubadilika wakiingia ndani, la kufanya oa ila uwe tayari kuacha wakati wowote,
 
Mrejesho ...

Kheri za mwaka mpya....wanajamvi...
baada ya suluhu za hapa na pale vikao kila siku aliamua kuondoka ndani kakimbia nyumba na kuniacha na watoto 2 (6years old son...2 years..girl) niliona sina budi ya mimi kupambana kiume aliondoka mwezi wa 3 after 3 weeks alirudi na kuniomba nimpe mtoto wa kike mimi nibak na wa kiume ...amekaa kimya sana simtafuti wala yy hanitafuti i've decided to move on ..ila ninapo iangalia future ya watoto wangu roho inaniuma saana....iam really stressful dont know what to do....

kosea kujenga utabomoa ila usikosei kuoa ...MUNGU ATUBARIKI SOOTE...
daah pole sana mkuu hawa viumbe sio kabisaa... anyway lea wanao mkuu kama umebaki na mmoja mtunze mwanamke akishabadilishwa akili huwezi kuishi nae tena tupa kule anza upya.
 
Habar za saa hizi jameni...

Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.

Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.

Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.

Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki



=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
Mkuu wanawake wa siku hizi ni zaidi ya MBWA, hasa anapokuwa na mchepuko unaomjaza kichwa. Hapo huna mke bali una mlezi wa watoto wako 2. Tafuta mke material uoe bado ungali kijana utakuja kushtuka jua limezama. Utakuja kunikumbuka kuwa mkuu tpaul wa JF nilikupa ushauri konki wa kiume ikiwa utaufanyia kazi mara moja.
 
Mrejesho ...

Kheri za mwaka mpya....wanajamvi...
baada ya suluhu za hapa na pale vikao kila siku aliamua kuondoka ndani kakimbia nyumba na kuniacha na watoto 2 (6years old son...2 years..girl) niliona sina budi ya mimi kupambana kiume aliondoka mwezi wa 3 after 3 weeks alirudi na kuniomba nimpe mtoto wa kike mimi nibak na wa kiume ...amekaa kimya sana simtafuti wala yy hanitafuti i've decided to move on ..ila ninapo iangalia future ya watoto wangu roho inaniuma saana....iam really stressful dont know what to do....

kosea kujenga utabomoa ila usikosei kuoa ...MUNGU ATUBARIKI SOOTE...

pole sana, acha kuwa na stress
 
Mkuu don't compromise your happiness na kitu chochote kile. Binafsi, mke, mali na watoto havinifanyi niishi kwa kuteseka. Kama unajiweza kiuchumi, piga chini, muache yeye akae kwenye nyumba na watoto wako. Wew kaanzishe maisha mapya na kuweka utaratibu wa kuhudumia watoto wako. Otherwise utakufa kwa stress siku si nyingi! Pole sana mkuu.
malezi ya baba ni muhimu sana sanaa . pengine kuliko hata ya mama.
upo tayar kuruhusu stranger awe baba wa watoto wako?
 
Back
Top Bottom