Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Unanidai Dompo siku ya Valentine's day plus dinner na one night offer na umpendaye.Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo
It seems you are a good and loving man.
Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.
Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.
Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.
Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.
Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?
Unadhani watakuwa watu aina gani?
Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Kikao cha wanaume kinafikiria wapi tukujengee sanamu.