usinizibemdomo
Member
- Jun 19, 2012
- 21
- 9
- Thread starter
- #21
hilo ni wazi mno
mkeo 'hakupendi wala hajawahi kukuipenda'
wazanzibari nawajua
wanachukulia 'kuolewa' kama 'baraka' ambayo haikataliwi
so mtu anajilazimisha kuolewa hata kama hayuko 'in love' na mwenzie
so wa kwako 'kaolewa' na wewe kama 'sheria' tu
kiukweli hajawahi kukupenda kabisa
majini mahaba visingizio tu
Naanza kukubaliana nawe mkuu, thanks sana kwa maoni yako