kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,183
khaaaa ana mtu huyoo ww ,yaaani ujio wako ni kumuharibia issue zake ,yaani kuna muhogo unamkuna huyo daaaaaah pole na safari kiongozi
kwanini ulimzabua kofi y?Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
tafuta kizawadi kidogo tu,umpelekee,utaliona mpaka gego la mia sitaJana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
Umerudi nnyumbani kwako baada ya kuwa nje wiki nzima, mkeo yuko chumbani, we unakaa kwenye kiti sebuleni na housegirl kwa masaa mawili mazima!!!!!! Ulikuwa unafanya nini, halafu unaingia na kumpiga!!! Najaribu kuwaza hayo mazingira tu.Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
Inaonekana Kulikuwa Na Tatizo Kabla Hujaondoka, Hauwezi Rudi Safari Ukafikia Kukaa Sebuleni Ilhali Unajua Wife Yuko Kwa Room. Ilibidi Umfuate Room Na Kumjulia Hali, Sasa Kukaa Kwako Sebuleni For 2hrs Inaonyesha Kama Ulikuwa Unajipanga Hivi.Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
we nae una matatizo? kwaiyo umetoka safari umekaa kwenye kiti masaa mawili bila kukumbuka una mke ndan ya nyumba umtazame kama yupo au hayupo ndani? na umemzaba kibao kwa kosa gani? wanaume wengine bana..lmfao. kaombe ushauri mental hosp na sio hpa.Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
hilo ndo la kumuuliza..alikaa kwenye kiti masaa ..mawili anangoja nini???Ndio shida ya kuoa wanawake wasiofundwa tangu utoto. Hizi ni products za makuzi mabovu na tabia mbaya, hawa ni aina ya wanawake wanaotafuta usawa kwenye nyumba, a man will always be on top.
Lakini kwa nini usiende chumbani kumsalimia ulivyoona haji kukupokea?
na kawaida ya mafala huwa wanaiga ushauri mbovu..kasoma komment za maboya kuwa mwnmke apigwe ndo ubabe.Na maneno mazuri kwa mkeo ndiyo chakula chake kisha mpe chocolate ammumunye taratiiibu. We unawafuata wajinga wa JF wasiojua maana ya mapenzi? Mapenzi hayataki ubabe. Na mkeo usimpimie kipimo cha mtu mwingine.
bora hta wanaume wote wangekua na mawazo kama yko.Wewe nawe una mambo ya zamani kweli, unakubali ununiwe na mwanamke? Yaani huijui saikolojia ya wanawake hadi leo? Rudi kafundishwe upya maana unaniangusha sana!. Utacheka maana unaujua ukweli, kamwe hili la kununiwa haliwezi kutokea kama umemfanyia yafuatyao, unless awe na mapepo;
Chunguza sana kati ya hayo niliyokueleza utaamini maneno yangu, THE WAY FORWARD
- Trust me you didn't perform well; meaning that she still needed it badly
- Una muda kama week nzima imeisha hujamgusa ndio maana...
- Huna approach nzuri kwenye mchezo that's why she is not enjoying na hivyo kuwa furious
Wallah baada ya hapo utaona atashinda kutwa nzima ana tabasamu tu, mara ka-juice, mara maji ya kukoga, mara uchaguliwe nguo nzuri ya kuvaa.... Sharti lake hii dawa ni kwamba lazima ulete mrejesho, kumbuka Waungwana walisema Mke hapigwi..... wana fimbo yao! Usiwe mjinga utaharibu ndoa yako au atakuja kukugeuzia kibao akutie aibu kaka.
- Mfanyie surprise kasha jitahidi u-perform to the maximum as if ni ndio day one, si unajua zile Enzi zako? Kila mtu ana nyakati zake ambazo aliwahi ku-perform had nne, why? Kwakua "alikua mpya", kwahio mfanye aonekane mpya tena mbele ya macho yako, no matter ame-fatten kiasi gani.
- Mtanie kidogo, sio utani sana but at least tabasamu kiasi kumuonyesha that you are enjoying "the journey" hata kama sivyo.
- usijenge mazingira yoyote yale ya kumfanya akumbuke chochote ambacho ni negative, kuwa selective sana kwenye maneno yako.
- Epuka kuwa na special timimg ya kuingia uwanjani, yaani jenga mazingira ya yeye kuelewa kuwa kuna jambo linatafutwa( Mama Fulani naomba nitafutie shati langu chumbani) hata akijibu vibaya insist in a very polite way kuwa unahitaji msaada wake wa kupata hilo shati, soksi, kitabu n.k, anaweza kukwambia sitaki tafuta mwenyewe (very rare though) lakini uki-insist atajua what you mean
aione bia miss chagga pekee
hiyo week nzima alikua kwa mchepuko. asilete porojo nyngine. case dismiss.Minaona kipo kilicho jificha zaidi ya hiki ulicho tueleza.
Anyway......
Stress pia ni tatizo kubwa hasa kwa afya ya mahusiano/ ndoa.
Kama wewe umetoka safari na umefika nyumbani, ilikuaje ukaishia sebleni (eti 2 hours kwa chair)..[emoji15]
Doe's it making sense?
Kwanini hauku fika na kupitiliza chumbani na kumuonyesha huyo mkeo ujio wako na kwamba umem miss?
Then, kama angekua na negative reaction/ respond..... basi hapo ndipo ungekuja kutueleza haya unayo yasema.
typa men.Ivi kweli angekua mwanao wa kike amekuletea kesi hiyo ungeamuaje kwamba ni sawa kufanya ulicho fanya?
Mwanamke ni mtu ambae unatakiwa kumchukulia pole pole huenda akawa kuna kitu kinamkera,ivi kwamfano angekua ametongozwa huko nje na amekataa kwsababu anaheshimu ndoa yake na wewe anaekutunzia heshima umerudi na kosa sio kosa unampiga unadhani hatofanya kitu kibaya na hutojua au wakati wa kuja kujua its too late?
Mwanamke ni pambo mkuu sio mtu wa kumpiga,nguvu zako wewe sio sawa na yeye,kumbuka kua ni Mama wawatoto wako na mlezi wa Penzi lako.muombe msamaha kama mwanamme mwenye kujua majukumu yake.