yani kashakitegesha halafgu jamaa anatumia uso na mikono mfyuuuLabda alikuwa amekuandalia mambo matamu chumbani,
Na alitegemea ukifika break ya kwanza chumbani lakini ukafikia kwenye "kitu" kwa masaa mawili
Mbembeleze tu kwa upendo
Leo jioni muombe utoke nae mkapate chakula cha jioni pamoja,mazingira tofauti tuu na hapo nyumbani,zungumza nae mnyenge eeeh,msikililize anataka nn au amemiss nn wiki moja ambayo haukuwa nae hapo home[emoji5] [emoji5] na n.k akiendelea kununa jamanii mpe tu suspension sasa atakuwa ana yake sasa[emoji28]Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safar ambayo nimekaa takriban wiki nzima,safar yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumban nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumban hakuweza kutoka ndan ya chumban, nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawililizima nilivyoenda chumban nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake, ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefula, haelweki, eti nimemkosea, jaman nimfanyeje ili arud kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lkn yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au haniitaji niwepo nyumban? Naomba mnishauri.
Labda alikuwa amekuandalia mambo matamu chumbani,
Na alitegemea ukifika break ya kwanza chumbani lakini ukafikia kwenye "kitu" kwa masaa mawili
Mbembeleze tu kwa upendo