Hahahahaa asante sana, muda mrefu sana kumbe duhbora hta wanaume wote wangekua na mawazo kama yko.
Kwanza kosa lako kufikia kwenye kiti Massa mawili, hapo ni kwako ulitakiwa upitirize chumbani moja kwa moja sasa Massa mawili upo tu kwenye kiti, na mdada waka alikua wapi?Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
daah! ushaharibu ujue, sasa fanya iviii- mtongoze upya kama vile ambavyo ulimtongoza mara ya kwanza, afu yeye ataona kama ndo anapata jembe jipya.Jana nimefika usiku wa saa mbili nikitokea safari ambayo nimekaa takribani wiki nzima, safari yenyewe ilikuwa ya ghafla sana, nilipofika nyumbani nikapokelewa na housegirl kwa shangwe sana, mke wangu alikuwa chumbani hakuweza kutoka ndani ya chumbani.
Nilifika kwenye kitu nikakaa karibu masaa mawili mazima nilivyoenda chumbani nikakuta amejilaza tu, nikamuuliza why hata salamu hunipi akasema eti mimi ndo ningeanza kutoa salamu kwake.
Ghafla nikashitukia nimeisha mzaba kofi moja tu, tangu mda huo amefura, haeleweki, eti nimemkosea, jamani nimfanyeje ili arudi kwenye normal yake, maana mie hasira zimeisha lakini yeye as if ndo kwanza, Je nilikosea? Au hanihitaji niwepo nyumbani?
Naomba mnishauri.
Lilikuwa na kiwango cha 8.2 katika vipimo vya ryshtaHilo kofi lilikuwa la kiwango gani blaza?
Kumbe kadogoLilikuwa na kiwango cha 8.2 katika vipimo vya ryshta
Je ulimpigia cm kumwambia unarudi?mambo mengine mnataftaga wenyewe mana km hukumwambia upo njian hata km ni mm ningejihis vibaya labda humuamini,wanawake tunamambo mengi sana na hatuyaongeagi,hawez kufanya hvyi bila sababu yy cyo kichaa.Hiv kweli mtu haupo wiki nzima lkn unafika hata karibu hamna, kweli ilikuwa hasira mkuu
Ndo urithi pekee walioachiwa wanaume wa kiafrika kutoka kwa babu zaoUnampigaje vibao mke wako?!
Hivi huu ubabe mtaacha lini?
Kama sio kutekenyana na hghilo ndo la kumuuliza..alikaa kwenye kiti masaa ..mawili anangoja nini???
Na hili limetoka kwa mchepuko dozi aluzopewa huko karudi ht upendo kwa mkeo haupo...hivi km alikua anaumwa je.?kwanini yy asianze kumsalimia....kawaida mgen ndio huanza kusalimia wenyeji..mijanaume mingine sijui ya wapi..sijui wamelelewa jeshin hovyooo....ufike tu na uanze mabao.???wenzio wakitoka safari tunachapwa na dushe eti wewe unachapa mke kibao kweli unatatizo........... nenda kamgonge mtasameheana .. acha kupiga mkeo wewe ..... uliondoka ghafla labda alihisi umeenda kwa mchepuko na ulivyompiga ndiyo umeharibu kabisa
Ndio mana wanagongewaaa na badoooNa maneno mazuri kwa mkeo ndiyo chakula chake kisha mpe chocolate ammumunye taratiiibu. We unawafuata wajinga wa JF wasiojua maana ya mapenzi? Mapenzi hayataki ubabe. Na mkeo usimpimie kipimo cha mtu mwingine.
Haaaaaaa yn amchunie wkt yy ndio mwenye kosa .....hujakutana na vichwa ngumu wewe hahahahaMchunie uendelee na mambo yako mpaka atakapokuwa tayari mwenyewe kukusemesha.
Piga Tu ... Mianamke Mingine Bhana Kuna Michepuko Inakusubiri Stendi Kabisa..Hiv kweli mtu haupo wiki nzima lkn unafika hata karibu hamna, kweli ilikuwa hasira mkuu