Braza punguzeni kurudi mikono mitupu kabisaaa,,,y@@N ungefanya kama hiv kind unaoingia,,,waooo kipenzi cha roho yangu furAha ya moyo wangu,,,uhal gan sweetiy ilhali ushamkaribia unamshika paji la USO au unafanya kitu Fulani cha kumfanya arelax,,huku unamhamasisha na kumteka fikraa juu ya uwepo wako,,,am sure angebadilika hats kama yypo vibaya,,,halafu acha ubwege Wa kupiga watoto wazuri boya we,,,siku nyingine utasafir atakuombea ajali ufilie mbali,,,kuwa na maamuzi ya busara Kwa mahusiano
Duh! Mkubwa,kipigo kwa mkeo ni mambo ya zamani.skuizi mwanamke hapigwi
Ukimpiga atakuogopa na upendo hauji kwa kuogopwaAnafanywa nini?
vitoto vitamu hivyo!,Housegirl si kafurahia ujio wako? Na wewe furahi naye, usinune na wanaonuna
Anati.....wa vizurAnafanywa nini?
Unamuolea mke mwingine...mbona simple tuu bro.Anafanywa nini?
Nimeona aisee upo vyema .. Fimbo yetu ya nyamaWewe nawe una mambo ya zamani kweli, unakubali ununiwe na mwanamke? Yaani huijui saikolojia ya wanawake hadi leo? Rudi kafundishwe upya maana unaniangusha sana!. Utacheka maana unaujua ukweli, kamwe hili la kununiwa haliwezi kutokea kama umemfanyia yafuatyao, unless awe na mapepo;
Chunguza sana kati ya hayo niliyokueleza utaamini maneno yangu, THE WAY FORWARD
- Trust me you didn't perform well; meaning that she still need it badly
- Una muda kama week nzima imeisha hujamgusa ndio maana...
- Huna approach nzuri kwenye mchezo that's why she is not enjoting na hivyo kuwa furious
Wallah baada ya hapo utaona atashinda kutwa nzima ana tabasamu tu, mara ka-juice, mara maji ya kukoga, mara uchaguliwe nguo nzuri ya kuvaa.... Sharti lake hii dawa ni kwamba lazima ulete mrejesho, kumbuka Waungwana walisema Mke hapigwi..... wana fimbo yao! Usiwe mjinga utaharibu ndoa yako au atakuja kukugeuzia kibao akutie aibu kaka.
- Mfanyie surprise kasha jitahidi u-perform to the maximum as if ni ndio day one, si unajua zile Enzi zako? Kila mtu ana nyakati zake ambazo aliwahi ku-perform had nne, why? Kwakua "alikua mpya", kwahio mfanye aonekane mpya tena mbele ya macho yako, no matter ame-fatten kiasi gani.
- Mtanie kidogo, sio utani sana but at least tabasamu kiasi kumuonyesha that you are enjoying "the journey" hata kama sivyo.
- usijenge mazingira yoyote yale ya kumfanya akumbuke chochote ambacho ni negative, kuwa selective sana kwenye maneno yako.
- Epuka kuwa na special timimg ya kuingia uwanjani, yaani jenga mazingira ya yeye kuelewa kuwa kuna jambo linatafutwa( Mama Fulani naomba nitafutie shati langu chumbani) hata akijibu vibaya insist in a very polite way kuwa unahitaji msaada wake wa kupata hilo shati, soksi, kitabu n.k, anaweza kukwambia sitaki tafuta mwenyewe (very rare though) lakini uki-insist atajua what you mean
aione bia miss chagga pekee
Kidogo tu mkuu cha kumbusti, wanawake siku hizi wanadharau sana yupo sahihi kumpa kofi tena amuongeze,Duh! Mkubwa,kipigo kwa mkeo ni mambo ya zamani.skuizi mwanamke hapigwi