Mke wangu kanuna baada ya kumpiga kibao!

Mke wangu kanuna baada ya kumpiga kibao!

Na hili limetoka kwa mchepuko dozi aluzopewa huko karudi ht upendo kwa mkeo haupo...hivi km alikua anaumwa je.?kwanini yy asianze kumsalimia....kawaida mgen ndio huanza kusalimia wenyeji..mijanaume mingine sijui ya wapi..sijui wamelelewa jeshin hovyooo....ufike tu na uanze mabao.???
Haijielewi kabisa
 
huenda ana mimba changa,fatilia huenda ndio sababu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom