Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Huwa natamani wa kwangu afanye hivi hata siku moja lakini sijabahatika kabisa. Kila wakati nikilianzisha ananikwepa. Nadhani siku atakayojaribu breki ya kwanza itakuwa kwa dentist kufunga dental braces ili kukaza meno.​
🤣🤣🤣
 
yani msg za kifala apokee yeye alafu akungate wewe???? duuh
 
dah coment yako imekuja na maumivu sana yaan nimeumizwa sana na maneno yamenichoma haswa, ngoja nilud kwanza hom nikamle makofi, pumbv zake kumbe mbele jamii naonekana bwege wakati mi najuaga namkubali
Take it easy mkuu,huwezi kubadili kila kitu kwa siku moja.
 
Huwezi lolote we mtoto wa single mama kaa utulie tu ushawahiwa,hizo hatua unazotaka kuzichukua sasaiv dhidi yake itakua ni uonevu....cha msingi weka mipaka yako isivunjwe....huyo mwanamke alishakushusha vyeo,maana yake yeye yuko juu yako ...na ndio maana alithubutu kusema unampanda kichwani

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni kweli jamaa limelelewa na single mother hili

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?
Uliyoandika ni uongo kwa 99%

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Unajua kung'ata ni jambo moja, lakini kung'ata hadi uhakikishe damu imetoka sio kazi nyepesi na ni jambo tofauti kabisa vinginevyo uwe umedhamiria haswa. Ukiongezea na huo utetezi wake kuwa alikuwa anajihami naona dalili mbaya sana.

Huwa wanaanza kwa kupima kina cha maji kama hivyo, kaanza kwa kukung'ata jicho kesho atakupasua mbupu kisha aseme alikuwa anajihami. Mwanamke wakulelewa kama yai na kubembelezwa ni yule anayejitambua na anaejua nafasi yake kwenye familia tu.

Huyo wako ilitakiwa umshushie kipigo cha maana ili next asifikirie kabisa hata kukunyooshea mkono, ila kwakua umejidekeza mbele yake, subiria aje kukutoa jicho.
Unalishauri la nini hili pumbu? Arrghhh

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom