Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Mwanamke akifikia hali hiyo elewa kuwa hapati haki yake ipaswavyo.


Ni mke wa ndoa za kidini? Au wa kuokotana mkaamuwa kuishi nae tu?
 
Hivi kuambiwa nenda kwa wazazi wako ukapumzike ni adhabu? Mi naona kama shangwe vile
Yeah sio adhabu nami sijamshauri amwadhibu either kwa kumpiga ngumi au kumchapa kwanini? Mwanamke hapigwi, kama kweli unampemda mumeo na umemzoea ule upweke wa kuwa mbali nae utakutesa tu. Na kwa wewe unaeona ni shangwe basi jua huo Uhuru ulikuwa ukiutafuta kitambo na hukuwa na jinsi ya kuupata ili utimize Mambo yako nje ya ndoa. So katika Hilo nitajua tu upo nami kwa mapenzi ya kweli au upo nami kama mashine ha kuzalia tu pale kwangu.
 
Mwanamke akifikia hali hiyo elewa kuwa hapati haki yake ipaswavyo.


Ni mke wa ndoa za kidini? Au wa kuokotana mkaamuwa kuishi nae tu?
haki ya kimsingi kama nini mana nimemfungulia biashala apate pesa hata akipata m5 kama faida sijawah kumwomba, na majukumu yote nayabeba mwenyewe zaid nimemwambia hela yako iwasaidie ndugu zako sasa haki gan nimpe, labda kwenye unyumba, coz niko busy
 
haki ya kimsingi kama nini mana nimemfungulia biashala apate pesa hata akipata m5 kama faida sijawah kumwomba, na majukumu yote nayabeba mwenyewe zaid nimemwambia hela yako iwasaidie ndugu zako sasa haki gan nimpe, labda kwenye unyumba, coz niko busy
Basi ujue tatizo limeanzia hapo,humchapi libolo ipasavyo kisa eti uko busy.
 
haki ya kimsingi kama nini mana nimemfungulia biashala apate pesa hata akipata m5 kama faida sijawah kumwomba, na majukumu yote nayabeba mwenyewe zaid nimemwambia hela yako iwasaidie ndugu zako sasa haki gan nimpe, labda kwenye unyumba, coz niko busy
maswali yangu ni mawili, la pili hujaligusia.

kufanya au kutokufanya biashara siyo haki za msingi wa ndoa.
 
Yeah sio adhabu nami sijamshauri amwadhibu either kwa kumpiga ngumi au kumchapa kwanini? Mwanamke hapigwi, kama kweli unampemda mumeo na umemzoea ule upweke wa kuwa mbali nae utakutesa tu. Na kwa wewe unaeona ni shangwe basi jua huo Uhuru ulikuwa ukiutafuta kitambo na hukuwa na jinsi ya kuupata ili utimize Mambo yako nje ya ndoa. So katika Hilo nitajua tu upo nami kwa mapenzi ya kweli au upo nami kama mashine ha kuzalia tu pale kwangu.
Hayo ni mawazo.yako tu, kufanya upuuzi hata ndani ya ndoa mtu anafanya akiamua si lazima apewe uhuru wa kwenda kwao.
Kwenda kupumzika nyumbani to me its a vaccation, haiwezi kuwa adhabu.
Adhabu ataipata yeye anae baki.
Huyu wangu hata iweje haniruhusu nirudi nyumbani kisa tumegombana, atafanya njia zote nisiondoke.

Ukiona mtu anapewa adhabu arudi kwao ujue huko kwao kwenyewe kuna shida za kutosha.
Nikienda kwetu narudi shavu dodo aliyenirudisha ataona aibu mwenyewe kwa maamuzi aliyochukua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom