Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,259
Yeah sio adhabu nami sijamshauri amwadhibu either kwa kumpiga ngumi au kumchapa kwanini? Mwanamke hapigwi, kama kweli unampemda mumeo na umemzoea ule upweke wa kuwa mbali nae utakutesa tu. Na kwa wewe unaeona ni shangwe basi jua huo Uhuru ulikuwa ukiutafuta kitambo na hukuwa na jinsi ya kuupata ili utimize Mambo yako nje ya ndoa. So katika Hilo nitajua tu upo nami kwa mapenzi ya kweli au upo nami kama mashine ha kuzalia tu pale kwangu.
Hamna kosa kubwa kama kuwa na mgogoro kisha ukamtoa mwenzako kumpeleka kwao..
Mpeleke kwenu.