Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Yeah sio adhabu nami sijamshauri amwadhibu either kwa kumpiga ngumi au kumchapa kwanini? Mwanamke hapigwi, kama kweli unampemda mumeo na umemzoea ule upweke wa kuwa mbali nae utakutesa tu. Na kwa wewe unaeona ni shangwe basi jua huo Uhuru ulikuwa ukiutafuta kitambo na hukuwa na jinsi ya kuupata ili utimize Mambo yako nje ya ndoa. So katika Hilo nitajua tu upo nami kwa mapenzi ya kweli au upo nami kama mashine ha kuzalia tu pale kwangu.

Hamna kosa kubwa kama kuwa na mgogoro kisha ukamtoa mwenzako kumpeleka kwao..
Mpeleke kwenu.
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Mpige chini huyo, ipo day atakuua
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Una chanjo ya TETENASI ?!
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Atakuua huyo we cheka nae tu
 
Yaani sijui watu wengine akili zao zikojee...ni huzuni kwa kweli...ndio maana umeng'atwa na mkeo...huna akili...
 
Huyo ni wa kumpa suspension au kumdivosi kabisa , how comes akutooe damu .
Mkuu huna mke una kiwanda cha watoto, kama watoto wamekutosha mfukuzilie mbali ukimsamehe mpe suspension aende Kwa wazazi au walezi wake wakamfunde
Kumfukuza itakuwa n upenyo kwenda kwa mchepuko wake akaenjoy zaidi
 
Nimeishia hapo, "kijana wa hovyo"

Sidhani huyo mke yupo...
unazungumzia uwepo wake? Wakati saiz nina miaka nae kumi saiz nimemuoa kipind niko na umr wa miaka 18 mpaka leo natimiza miaka 28 long time a go
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom