Huyu ni wakutandika viboko kwanza ili akili imkae sawa ..mbaf kabisa☹️ushauri wako muhimu sana rafiki 😃😌
Sasa huu ndio ushauri unaofaa kwa vijana wa hovyo kama huyu...🤣Wewe Binafsi unataka umfaanyeje?
Umeoa Vampire ?Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Teh teh teh 😂 😂 kuna raia mnapenda ugomvi sana ...hii 'interest' yenu iongezeni kwenye CV zenu.Huwa natamani wa kwangu afanye hivi hata siku moja lakini sijabahatika kabisa. Kila wakati nikilianzisha ananikwepa. Nadhani siku atakayojaribu breki ya kwanza itakuwa kwa dentist kufunga dental braces ili kukaza meno.

Lengo lao ni kutuchosha watu wazima akili zetu😅😅😅Sasa huu ndio ushauri unaofaa kwa vijana wa hovyo kama huyu...🤣
Extrovert mkeo hakutwangi kweli? Wanaume wengi wanajificha kwenye upendo ila kiukweli hawana nguvu za kuwapiga wake zao. Nowadays seems like women are more powerful/mascular than menSio kwa hii damu ya kishana! Angekuwa yuko morgue sahizi. Huwa sipendagi ujinga kabisa maishani mwangu.
Kumbe ndo maana unakuwaga MBAHILI sana🤭🤭🏃🏃🏃🏃🏃🏃🤣 Sio kwa hii damu ya kishana! Angekuwa yuko morgue sahizi. Huwa sipendagi ujinga kabisa maishani mwangu.
Hahahahahah we mtoto ubahili unahusiana nini na dharau za mke? 🤣 Af mi sio mbahili bali niko makini na uchumi wangu tu.Kumbe ndo maana unakuwaga MBAHILI sana🤭🤭🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Hahahah labda busu tu ila sio kingineExtrovert mkeo hakutwangi kweli? Wanaume wengi wanajificha kwenye upendo ila kiukweli hawana nguvu za kuwapiga wake zao. Nowadays seems like women are more powerful/mascular than men
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kwanza imekaaje mpaka meno yakafikia usawa wa jicho,kuna mapungufu lukuki kwa ndugu mwanaumeYani akakung'ata juu ya jicho we ukiwa unamwangalia tu![]()
Ha haaaaa nilikuwa namjua mpare mmoja Robert Heriel Mtibeli itabidi nijue kama Zemanda ni mpare mwenzenu nikamilishe research yangu....maana nyie watu mnaongoza ubahili humu jamvini😶🌫️😶🌫️😶🌫️😶🌫️Hahahahahah we mtoto ubahili unahusiana nini na dharau za mke? 🤣 Af mi sio mbahili bali niko makini na uchumi wangu tu.
Huwezi lolote we mtoto wa single mama kaa utulie tu ushawahiwa,hizo hatua unazotaka kuzichukua sasaiv dhidi yake itakua ni uonevu....cha msingi weka mipaka yako isivunjwe....huyo mwanamke alishakushusha vyeo,maana yake yeye yuko juu yako ...na ndio maana alithubutu kusema unampanda kichwaninimejeruhiwa dam zimenitoka bado nimkaze, hizo hisia natoa wapi? Kwanza kaomba msamaha nimemjimu nimekusamehe halafu nimetoka nimemwacha kalala mwenyewe hapa nawaza nimfanye nini ili ajutie alichokifanya? Nipasue simu, nimle makofi, nimnunie week, au niende polisi, nawaza mpaka akili ina shake