Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,120
- Thread starter
- #221
kumpiga chini ni njia sahihi? Nitaoa tena na mwingn atafanya hivi hv vp wote nitawapiga chn?Mpige chini huyo, ipo day atakuua
kumpiga chini ni njia sahihi? Nitaoa tena na mwingn atafanya hivi hv vp wote nitawapiga chn?Mpige chini huyo, ipo day atakuua
yaan mzee baba unavyoni hakikishia utazani unakaa hapa juu kusema unamjua mkewangu, dah mpaka nimeogopa, kwahali hy siwez kumuacha,Wahuni tutaichakata mbususu Kama tupo kwenye mashindano vile
lugha na maana hutofautiana sehem na sehem usikalil sisi kwetu barazan ni sehem ya ndan ya nyumba yako kabla hujaenda chumbani labda nikuelekeze kama mtoto pale tunapoweka sofa, au kochi, tv meza nk, sebulen ni nje ya nyumba yako yaani kabla hujaingia,balazani wengine mnaita uvalandan, na uelewa, huku tz profesa ni mtu mwenye elimu ya juu, ila utambue ukienda nchi mojawapo east africa profesa na mwalimu wa shule za msing so take careKuna sehemu niliwahi enda kibarazana ndo sebule we acha tu makubwaa
Alikuw anamng'ata taratibuYani akakung'ata juu ya jicho we ukiwa unamwangalia tu![]()
We ni bwege , mnawaendekeza hao wake zenu , piga mbwa hao washuke adabu ,huyo mke wako kabakiza kukutia vidole kwenye makalioMi ndio yule kijana wa hovyo
Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.
Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.
Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.
Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
asante sanaPole sana
Hahahaha!!!Mkitendewa inawauma eeeeee????Mi ndio yule kijana wa hovyo
Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.
Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.
Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.
Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Wanawake wengine Wana zari kweli,Yani akakung'ata juu ya jicho we ukiwa unamwangalia tu![]()
