Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?
Wewe ni komedian!
 
😀😀😀

Sisi ni wabahili lakini sio Kwa Wake zetu.
Kwa kupenda na kujua kutunza familia hakuna kama Mwanaume WA kipare hasa kule kanda ya Kaskazini.

Labda umaskini tuu.
Mmmh Haya siwezi bisha sana labda nikutane na wake za wapare wanipe ABC zenu!ila Kwa macho ya haraka haraka hiiiiiiiiiiii 🤠🤠
 
Wewe ujaumia kabisa ungeumia vzr usingeweza kuandika hapa
sijaumia ila nina jelaha la sentimita mbili na hata sijakwenda hospital wala kutumia dawa uzur nina uwezo wa kuzibiti hisia za maumivu na nikapona kwa siku mbili na hapa naandika sina maumivu hata kdg japo nina jeraha kubwa vuta picha kama mm tu sijijali unazani nikirudisha kisasi kitakuwa cha mtindo upi?
 
Wewe ujaumia kabisa ungeumia vzr usingeweza kuandika hapa
sijaumia ila nina jelaha la sentimita mbili na hata sijakwenda hospital wala kutumia dawa uzur nina uwezo wa kuzibiti hisia za maumivu na nikapona kwa siku mbili na hapa naandika sina maumivu hata kdg japo nina jeraha kubwa vuta picha kama mm tu sijijali unazani nikirudisha kisasi kitakuwa cha mtindo upi? Ndio mana nimekuja omba ushauri kwa wenye ufaham na hekima
 
Cheza nae kwa akili kuliko nguvu
ndio mana sijampa kipigo nimejifanya fala lakin weng wananiona mi mzembe,bwege, napigwa na mwanamke, ila nikileta ujeur wangu kesho mtasikia, jamaa kaua mkewe na hao hao wanaoniona bwege watasema anyongwe sa sijui kipi bora?
 
sijaumia ila nina jelaha la sentimita mbili na hata sijakwenda hospital wala kutumia dawa uzur nina uwezo wa kuzibiti hisia za maumivu na nikapona kwa siku mbili na hapa naandika sina maumivu hata kdg japo nina jeraha kubwa vuta picha kama mm tu sijijali unazani nikirudisha kisasi kitakuwa cha mtindo upi? Ndio mana nimekuja omba ushauri kwa wenye ufaham na hekima
Embu weka picha nione nijue tunakusaidiaje
 
WE JAMAA UTAKUWA UNATIWA MIDOLE WEW MWANAUME HAWA IVYO
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Na ukome
 
Huwa natamani wa kwangu afanye hivi hata siku moja lakini sijabahatika kabisa. Kila wakati nikilianzisha ananikwepa. Nadhani siku atakayojaribu breki ya kwanza itakuwa kwa dentist kufunga dental braces ili kukaza meno.​
🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom