Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Huyu tumwambie au tumuache ?
Et, kataa ndoa tumsaidie tumuache?
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?
Angalia vizuri isije ikawa mkeo keshaambukizwa uzombi[emoji848]
 
Hivi kuambiwa nenda kwa wazazi wako ukapumzike ni adhabu? Mi naona kama shangwe vile
Kwa wanawake wa siku hizi akiambiwa kwenda kwao ndo anafurahi maana anakuwa huru kwenda kugawa mbususu kwa maex wake bila taabu yaani ataigawa kwa hasira kila siku
 
Mlete kwangu nimkanye mkeo.
Aje nimpe darasa kwa wiki 1 tu inatosha akirudi kwako heshima debe.
Karibu PM
 
Kwa wanawake wa siku hizi akiambiwa kwenda kwao ndo anafurahi maana anakuwa huru kwenda kugawa mbususu kwa maex wake bila taabu yaani ataigawa kwa hasira kila siku

Kama hutaki agawe Kwa ma-ex si ungechukua akiwa Bikra?
MTU kwenda kwao kuna uhusiano gani na ku-cheat?

Anaweza Kutoka na ma-ex au wanaume wengine akiwa hata hapo kwako
 
Huwa natamani wa kwangu afanye hivi hata siku moja lakini sijabahatika kabisa. Kila wakati nikilianzisha ananikwepa. Nadhani siku atakayojaribu breki ya kwanza itakuwa kwa dentist kufunga dental braces ili kukaza meno.​
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni Mimi mtupu
 
Mi ndio yule kijana wa hovyo

Ipo hivi tumetulia zetu kibalazani tunacheki TV baada ya mlo wa usiku, mara meseji titiip kwenye simu ya wife uzuri tulikuwa tumekaa jirani akachukua simu na kusoma ile kupiga jicho nakuta wife kaikimbiza.

Akajua sijamuona nikamwambia, tusome wote, akajibu, we zinakuhusu nini, halafu mbele ya watoto nikasema sawa, ila sio kwa ubaya au ni mchepuko, akanijibu kwa kejeli, mi ooh kumbe unataka kunipanda kichwani.

Nikazima tv na kuwaambia watoto mkalale, nikachukua simu nikaenda chumbani, bas akaja chumban na kuanza kuongea ooh ujue wewe unanifuatilia sana, nikamshika kwa jazba, nikamwambia angalia kauli zako, dah ni kama moto umetiwa petroli.

Akaja akanitia meno kwenye jicho kwa juu, ghafla damu, kibao kwenye kitanda, basi nikabaki kumuangalia coz sikuwa na cha kumfanya punde wakaja majiran, wakanicheki nimelowa dam, ajabu wife anasema nilikuwa najihami, wakati hata sijamfanya chochote wakuu nipo naugulia maumivu, hivi mtu kama huyu nimfanye nini?

Chakufanya ni kuwashukuru majirani zako maana angekuchakaza kwa kipigo mbwa wewe [emoji23][emoji23][emoji23]yaani mpk mtu analeta meno kwenye jicho we unamuangalia tuh
 
Nyie mlikua na matatizo yenu hata kabla ya hiyo issue ya msg,

Halafu umesema mlikua mnaangalia tv Kibalazani? au mimi ndio sielewi!

Kawaida vibaraza viko nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kasahau kusema walipomaliza aliingiza tv ndani au anachokumbuka ni kipigo tuh
 
Kama hutaki agawe Kwa ma-ex si ungechukua akiwa Bikra?
MTU kwenda kwao kuna uhusiano gani na ku-cheat?

Anaweza Kutoka na ma-ex au wanaume wengine akiwa hata hapo kwako
Ni bora agongwe akiwa kwa mumewe atagongwa mchana tu tena fasta fasta ili awahi nyumbani mumewe hajatoka kazini
Ila mwanamke akiwa kwao(tena ukute ni hizi familia za miaka hii) yaani anaweza hata kuaga kwao anaenda kwa dadake kumbe ana appointment na lijamaa anaenda kulala hata siku tatu mwamba anatomba mpaka anaichoka anabaki kuiangalia tu!
Labda kama hujawahi kukutana na mwanamke aliyerudi kwa wazazi sababu ya migogoro ya mumewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom