Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Wewe sema ukweli, ulikua unalazimisha show ukang'atwa, pole lakini next time muombe taratibu atakupa tu.
 
Hii comment ina ashiria kua huyo mkeo kakutawala sana,amesha kuona wewe ni dhaifu mbele yake,

Kijana kaza kiume,wewe ndio mfalme wa hiyo himaya yako,

Huyo mkeo mpeleke kwao huko akajifunze adabu kwanza,ukisha mfikisha kwao,kata mawasiliano nae kabisa ili akili imkae sawa,

Ningekupa ushauri wa kumtwanga talako ila nimeona kabisa kua huna jeuri hiyo.
dah coment yako imekuja na maumivu sana yaan nimeumizwa sana na maneno yamenichoma haswa, ngoja nilud kwanza hom nikamle makofi, pumbv zake kumbe mbele jamii naonekana bwege wakati mi najuaga namkubali
 
Ibilisi mvunja ndoa ashatimba kwako hapo akili kichwan kwako.
Hao wakishavamiwa na ibilisi Huwa hawaelewi,wanakuja kuelewa wakishachika na mafuta ya upako yamedunda kumrejesha mume.
 
Mwanaume anayepigwa na mkewe! Wa hovyo kabisa!!
nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?
 
Ibilisi mvunja ndoa ashatimba kwako hapo akili kichwan kwako.
Hao wakishavamiwa na ibilisi Huwa hawaelewi,wanakuja kuelewa wakishachika na mafuta ya upako yamedunda kumrejesha mume.
kwahy ibilis kamuingia wife kwahy sio kosa lake sio bas nimsamehe tu ama nin?
 
Ha haaaaa nilikuwa namjua mpare mmoja Robert Heriel Mtibeli itabidi nijue kama Zemanda ni mpare mwenzenu nikamilishe research yangu....maana nyie watu mnaongoza ubahili humu jamvini😶‍🌫️😶‍🌫️😶‍🌫️😶‍🌫️

😀😀😀

Sisi ni wabahili lakini sio Kwa Wake zetu.
Kwa kupenda na kujua kutunza familia hakuna kama Mwanaume WA kipare hasa kule kanda ya Kaskazini.

Labda umaskini tuu.
 
nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?
Aelewi,wengi wanaogopa jela.
Mimi tangu nisikilize shuhuda jinsi wachawi wanavyotengeneza sababu ili wanandoa wauawane watimize malengo Yao siwez kwenda jela kisa mapenzi,Bora nikeep distance akae Dar Mimi Dom au Mwanza nakuja weekend kuwachek.
 
kabla ya haya tulikuwa tunacheka na kufurahia ila simu ndio tatz ila nishaivunja, hapa nangoja nipate jibu adhabu gan nyingine nimpe
Kama anakanyika mpe mipaka ya kutumia simu.
Kuanzia saa kumi na mbili jioni simu uncessary labda emergency Sio huo ni muda wa familia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom