Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,261
- 18,255
Wewe sema ukweli, ulikua unalazimisha show ukang'atwa, pole lakini next time muombe taratibu atakupa tu.
dah coment yako imekuja na maumivu sana yaan nimeumizwa sana na maneno yamenichoma haswa, ngoja nilud kwanza hom nikamle makofi, pumbv zake kumbe mbele jamii naonekana bwege wakati mi najuaga namkubaliHii comment ina ashiria kua huyo mkeo kakutawala sana,amesha kuona wewe ni dhaifu mbele yake,
Kijana kaza kiume,wewe ndio mfalme wa hiyo himaya yako,
Huyo mkeo mpeleke kwao huko akajifunze adabu kwanza,ukisha mfikisha kwao,kata mawasiliano nae kabisa ili akili imkae sawa,
Ningekupa ushauri wa kumtwanga talako ila nimeona kabisa kua huna jeuri hiyo.
Wewe sema ukweli, ulikua unalazimisha show ukang'atwa, pole lakini next time muombe taratibu atakupa tu.
binafs sijapata jibu sahihi, nimle, makofi, nimtimue, au nini yaan sina jb kamiliWewe Binafsi unataka umfaanyeje?
Endelea kufanya calculation utapata jibu sahihi fresh kabisaa😁😁😁binafs sijapata jibu sahihi, nimle, makofi, nimtimue, au nini yaan sina jb kamili
nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?Mwanaume anayepigwa na mkewe! Wa hovyo kabisa!!
kwahy ibilis kamuingia wife kwahy sio kosa lake sio bas nimsamehe tu ama nin?Ibilisi mvunja ndoa ashatimba kwako hapo akili kichwan kwako.
Hao wakishavamiwa na ibilisi Huwa hawaelewi,wanakuja kuelewa wakishachika na mafuta ya upako yamedunda kumrejesha mume.
Ha haaaaa nilikuwa namjua mpare mmoja Robert Heriel Mtibeli itabidi nijue kama Zemanda ni mpare mwenzenu nikamilishe research yangu....maana nyie watu mnaongoza ubahili humu jamvini😶🌫️😶🌫️😶🌫️😶🌫️
kabla ya haya tulikuwa tunacheka na kufurahia ila simu ndio tatz ila nishaivunja, hapa nangoja nipate jibu adhabu gan nyingine nimpeHuo ujeuri alikuwa nao tangu zamani au kabadilika
Aelewi,wengi wanaogopa jela.nakimbia kwa siku mara mbili kwa kilomet 20, nacheza karet judo, na nanyakua viroba, pia nilizingua, jkt, nilishawah vamiwa na kutekwa na watu6 ila walikula kichapo, je unazan, vigezo hiv unazan, bado anauwezo wa kunipiga au ni huruma yangu kwake?
Unavyozipenda hizi mada Demi 🤣🤣🤣🙌Kwahiyo msg ilisemaje?
Kama anakanyika mpe mipaka ya kutumia simu.kabla ya haya tulikuwa tunacheka na kufurahia ila simu ndio tatz ila nishaivunja, hapa nangoja nipate jibu adhabu gan nyingine nimpe
shindwa pepo katika jina la yesu na mtume yaani mi niuliwe na wife, niache nikajitoe sadaka nipate hela, we nijaze ngoja nipate jibu mbona atajua hajuiAshavamiwa na ibilisi kesho atakutoa pumbu