Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,575
- 3,107
Kwani umri umemzidi Miaka mingapi
Siku tatu? Mpaka anaichoka?Ni bora agongwe akiwa kwa mumewe atagongwa mchana tu tena fasta fasta ili awahi nyumbani mumewe hajatoka kazini
Ila mwanamke akiwa kwao(tena ukute ni hizi familia za miaka hii) yaani anaweza hata kuaga kwao anaenda kwa dadake kumbe ana appointment na lijamaa anaenda kulala hata siku tatu mwamba anatomba mpaka anaichoka anabaki kuiangalia tu!
Labda kama hujawahi kukutana na mwanamke aliyerudi kwa wazazi sababu ya migogoro ya mumewe
Pole sana ila kwamuono wangu mnakoendea si kuzurisizan kama nimemkosea mpaka kufikia huko ila dah ngoja kwanza nipone japo kaomba msamaha nimemjibu sawa ila roho inakataa kumsamehe kwanza kanikosea pili katoka nje kani dhalilisha yakuwa nampiga kila siku huku akilia wakati si kweli meno yake sio shida, shida kutoa nje mambo
🤣🤣🤣🤣🤣Uwii Bora mtudanganye sie wa southern Highlands.....hao kaskazini wenzenu ndio wamewachokaKwa kule Kaskazini hakuna anayetoboa Kwa Mpare Kwa Mapenzi na kujali familia. Huo ukweli hautaambiwa popote, Ila Mimi nimejitolea😊
🤣🤣🤣🤣🤣Uwii Bora mtudanganye sie wa southern Highlands.....hao kaskazini wenzenu ndio wamewachoka
mwaka mmojaKwani umri umemzidi Miaka mingapi
mkuu kua makini na 'mnengene" ushauri wake unaukakasi isije ikawa .......mkuu kiswahili nimekijulia ukubwani forgiven ila kama umeelewa ushaur wako muhimu
ilifutwa juu kwa juu na kuambiwa nimefuta kwan unatakaje? Alafu nilimuacha Dah ama kwel nikifika mbingun nipewe muda kdg nipumzike hata mwaka kabla hawajanipeleka motonMbula:
Jichoni?hivi jicho lilivyojificha hadi meno yaingie huko yang'ate na litoke damu!wee umetukia tuu....
Eheee. Sms inasemaje baada ya hapo
kwamba nimkomoe au?
mi ndio baba mi ndio mama namfukuzia wap?Huu Uzi umekaa kimagumashi Sana.
Enewei, mrudishe mkeo nyumbani kwao akafundwe vizuri
Bonge la adhabu hilo ,talaka Wala kujirudishia haijengakwamba nimkomoe au?