Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

Ni bora agongwe akiwa kwa mumewe atagongwa mchana tu tena fasta fasta ili awahi nyumbani mumewe hajatoka kazini
Ila mwanamke akiwa kwao(tena ukute ni hizi familia za miaka hii) yaani anaweza hata kuaga kwao anaenda kwa dadake kumbe ana appointment na lijamaa anaenda kulala hata siku tatu mwamba anatomba mpaka anaichoka anabaki kuiangalia tu!
Labda kama hujawahi kukutana na mwanamke aliyerudi kwa wazazi sababu ya migogoro ya mumewe
Siku tatu? Mpaka anaichoka?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
sizan kama nimemkosea mpaka kufikia huko ila dah ngoja kwanza nipone japo kaomba msamaha nimemjibu sawa ila roho inakataa kumsamehe kwanza kanikosea pili katoka nje kani dhalilisha yakuwa nampiga kila siku huku akilia wakati si kweli meno yake sio shida, shida kutoa nje mambo
Pole sana ila kwamuono wangu mnakoendea si kuzuri
 
Kwa kule Kaskazini hakuna anayetoboa Kwa Mpare Kwa Mapenzi na kujali familia. Huo ukweli hautaambiwa popote, Ila Mimi nimejitolea😊
🤣🤣🤣🤣🤣Uwii Bora mtudanganye sie wa southern Highlands.....hao kaskazini wenzenu ndio wamewachoka
 
Mbula:
Jichoni?hivi jicho lilivyojificha hadi meno yaingie huko yang'ate na litoke damu!wee umetukia tuu....
Eheee. Sms inasemaje baada ya hapo
 
Huu Uzi umekaa kimagumashi Sana.

Enewei, mrudishe mkeo nyumbani kwao akafundwe vizuri
 
Huu Uzi umekaa kimagumashi Sana.

Enewei, mrudishe mkeo nyumbani kwao akafundwe vizuri
 
Mbula:
Jichoni?hivi jicho lilivyojificha hadi meno yaingie huko yang'ate na litoke damu!wee umetukia tuu....
Eheee. Sms inasemaje baada ya hapo
ilifutwa juu kwa juu na kuambiwa nimefuta kwan unatakaje? Alafu nilimuacha Dah ama kwel nikifika mbingun nipewe muda kdg nipumzike hata mwaka kabla hawajanipeleka moton
 
Utakuta unazamu ya kupika kufua wewe kutafuta pesa wew ndugu badilika mwanamke usimzoeshe kumsaidia saidia atakufanya pimbi kama hivyo halafu unatakiwa ww ndio uwe unamkorofisha korofisha ili awe na adabu
 
Achana na simu ya mkeo.Ulimshambulia watoto wakiwepo pia.Umasema huna haraka na una hekima lakini sio.
Ungesubiria baadae mmetulia Umuulize au kama sio kawaida yake kupokea SMS na kuchati huenda zikawa SMS za POLISI Tanzania.
Wewe anasomaga meseji zako?
Mkuu nakushauri acha kuvamia simu ya mkeo.Pia jela sio kuzuri mkuu.Kama umeshindwa fukuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom