Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

mimi ndo napitia wakati kama wako ila nimekuja kugundua kuna mtu anampa furaha so hisia na mimi hazipo tena ila wa kwangu ni tamaa ya pesa coz sidhani kama kwangu kuna kitu alikosa ila amempata mtu mwenye uwezo zaidi yangu nimeamua kuachana nae japo na mpenda ila sina jinsi,najua nitapata mtu sahihi coz mapenzi usilazimishe utaishia kuumia na kushindwa kufanya mambo ya muhimu.japo naumia ila yataisha tu
Pole sana yatapita.
 
Dini hairuhusu. Sanasana nitatafuta kamchepuko kanakojielewa kawe kanamsaidia.
Dini gani hiyo inayokataza mke zaidi ya mmoja?,ukristo unaruhusu isipokuwa askofu ndo haruhusiwi kuwa na mke zaidi ya mmoja

1Tim 3:2-3​

Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha
 
Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.

Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.

Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!

Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.

Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.

Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Pole sana,

Huenda umri, uzito, majukumu, au afya inamsumbua.

Mtafutie safari nje ya mji, mkoa, mwende mkapumzike wewe na mkeo angalau kwa wiki moja, mfufue mapenzi yenu kama yalivyokuwa, utaona mabadiliko.

Kuambiwa "amechoka sana!" ni neno lenye maana pana, wewe ni mumewe, tumia hekima na busara zako sasa kuusoma ukurasa huo mpya wa akili za mkeo.
 
Huu uzi kama wa nne wwanaume wanalalamika hawapewi mbunye. Kitu gani kinaendelea mbona hamniambii wakuu? Isije ikafika kwangu pia
Hahahahaha....

Huenda nyakati hazitumiki sawasawa kama ilivyokuwa zamani.
Wanawake wanahitaji kupendwa,
Wanaume tunahitaji kuheshimiwa.

Zingatia neno kupendwa,
Tusichoke kuwaonyesha upendo na mapenzi.
 
Pole sana,

Huenda umri, uzito, majukumu, au afya inamsumbua.

Mtafutie safari nje ya mji, mkoa, mwende mkapumzike wewe na mkeo angalau kwa wiki moja, mfufue mapenzi yenu kama yalivyokuwa, utaona mabadiliko.

Kuambiwa "amechoka sana!" ni neno lenye maana pana, wewe ni mumewe, tumia hekima na busara zako sasa kuusoma ukurasa huo mpya wa akili za mkeo.
Wapare na wamachame hata uwapeleke U.S.A !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom