Duh pole sana mumy, huyo mtoto kaathiriwa na ndugu zake hasa mama yake mzazi kwakuanza kumjaza maneno mabaya na kufanya kukuchukia toka akiwa mdogo dah nihatar sana. Anapaswa akae na mwanasaikolojia kulingana na umri wake anaweza akashauriw na akawa vzrMtoto wa mume wangu aliyezaa nje kabla ya kunioa na nikamfuata kwa bibi yake tukaishi naye na alikuwa sababu ya kuvunja ndoa na hata baada ya baba yake kufariki bado anasumbua
Next week naenda kwenye kesi.
It's better kujihami mapema. Kila mtoto akae na mama yake.