Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,608
Kwan hapa uzi unaongelea kuleta baada au kabla?Inawezekana unasema hivi kwa sababu umelea/unalea watoto wa ndugu zako mfano wa kaka yako,dada zako,wa Shangazi,wa mjomba au hata wadogo zako..
Au watoto baki yatima wasiojiweza.
Subiri mumeo akuletee mtoto aliyezaa nje umlee uone kama ni rahisi.