Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Inawezekana unasema hivi kwa sababu umelea/unalea watoto wa ndugu zako mfano wa kaka yako,dada zako,wa Shangazi,wa mjomba au hata wadogo zako..
Au watoto baki yatima wasiojiweza.


Subiri mumeo akuletee mtoto aliyezaa nje umlee uone kama ni rahisi.
Kwan hapa uzi unaongelea kuleta baada au kabla?
 
Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.
Kulea mwana asiye wako ni shughuli hata mapenzi hayanogi bana
Tema mate chini, hujavuka mto, hivi fikria huyo unajifanya mnapendana mkaachana akaja mwanamke mwingine akawa ananyanyapaa wanao utajisikiaje?
Huwezi jua mama wa huyo mtoto alifariki au laa.
 
Tema mate chini, hujavuka mto, hivi fikria huyo unajifanya mnapendana mkaachana akaja mwanamke mwingine akawa ananyanyapaa wanao utajisikiaje?
Huwezi jua mama wa huyo mtoto alifariki au laa.
It's not a matter of kutema mate chini au juu Mimi nitalea wanangu nikiwa hai mwenyewe sihitaji booster na mwanaume, Niko hai, nimtese mwanamke mwenzangu anisaidie huo ni uzembe wallah, tuache kuzaa bila mipango na kuwatwisha wengine misalaba hasa Sasa hivi watu wanajizalia tu wakitegemea msaada tusisingizie vifo vipo tu tumeumbiwa
 
Nyie mngekuwa na roho nzuri na upendo kwa huyo mtoto basi msingeachana ili mumlee ipasavyo. Sasa kama nyie kawashinda kulea kwa upendo, ni vipi unataka mwingine amlee kwa upendo?
Maelezo mazuri Yao yamewashinda hafu laana wamwangushia mtu mwingine it's not fair
 
Wao wanataka waharibu mambo Wao halafu wambebeshe lawama mwingine.
Ni kweli tuache unafiki hivi mtu unazaa huko mnashindwana kulea mtoto wenu mliomleta then mna force mtoto apendwe kilazima na huyo mama ambaye hajamzaa ka si uwendawazimu ni kitu gani hicho jamani?
Waliomleta wamemsusa mtoto ambaye hajashiriki starehe Yao analaumiwa ati?
 
Na nyie mmezidi kutubebea mimba bila ya sisi kutaka mtoto.Unalikuta li msichana kisa limekuona una gari na ka nyumba basi linaamua livae mabomu kwa kukubebea li mimba lisilo pangwa.Hapo limesahau kuwa umeliomba uchi na sio Mimba.
Ma sichana ya kibongo mavivu kujitafutia maisha yanawaza kuolewa kwa kumzalia mtu kisa ana maisha yaani mimba imekuwa kama mtego wa kutangaziwa ndoa.Tena usiombe ukutane na mi sichana yenye rangi nyeupe mivaa vimini na ile yenye mitako sampuli hizi mbili ndo zinaongoza kutengeneza misichana isio na akili za maisha.Mawazo yao kuuza mikoba kumbe inatafuta wanaume.@Dinazarde
Wanakera sana hii zaa za hovyo kisa mtu yuko vizuri kiuchumi wanatega mimba na ulezi wala hawajui hafu eti mtu aniletee toto lake nilee kwa starehe zake Ili apate child support dhubutu yake kila mtu alelee mtoto wake aliyemleta kwa starehe zake.
Imagine umekutana na mtu u enjoy mapenzi mtu anategesha mimba, au anaanza kuleta mambo ya watoto wake yanahusu nini?
Kwasasa jinsi watu wanazaa tu bila kujali ustawi wa mtoto acha mambo wa kambo tuwe tu na roho mbaya kwa kweli
 
Toto korofi sawa hapo sitii neno ila kama una machuki yako kama ya mama ya kambo huo ni ujinga mkubwa kumchukia mtoto ambae aliletwa duniani bila idhini yake.Kwani alipenda kuzaliwa then wazazi wake waachane.
WANAWAKE WA KIBONGO WENGI NI MAGAIDI UNAWEZA MKUTA MMAMA AMA MDADA NYUMBANI KWAKE ANAMNYANYASA MTOTO AU DADAWA KAMBO ALAFU JUMAPILI ANA NENA KWA LUGHA HADI MACHOZI YANAMTOKA AKILILIA HURUMA YA YESU.pumbafuuu
Tutawanyasa wote kuanzia wewe baba na huyo mwanao kwanini nipate shida kwa yasiyo nihusu jamani, Mimi mtoto wako anihusu mpeleke kwa mama ake huyo Kuni force kulea siwezi nilikutana na wewe na sio huyo mtoto wako wewe kutaneni huko na mamake mtajiju sio kunichosha Mimi maana hata akikaa nyumbani sihangaiki naye na siwezi devote love yangu ka wa kwangu wakuzaa why niishi naye
 
Mkuu tukuhukumu au tukuache na uhuru wa mawazo yako..
InFact muhimu ni mtoto alelewe malezi ambayo ataona hakuna upungufu wowote au manyanyaso,,, sio lazima ampende sana ila ampe treatment sawa na watoto wake inatosha,
Hyo treatment mungetakiwa mumpe nyie mliozaa wawili na sio kutegemea mtu baki eti apende starehe zake na kuzihudumia never on earth, eti atleast umpe treatment fair nyie mliozaa mulishindwa nini why mu expect kwa wengine kutoa hizo treatment
 
Nani kakwambia kila anayekua na watoto nje ya mwanamke aliye naye currently ni kwa sababu ya kuzaa ovyo?

Wengine wamefiwa na wake zao wakiwa bado vijana wakaamua kuoa tena.

Inaonekana wazi ww una roho ya kishetani na ni rahisi sana hata kumchoma mtoto na pasi kisa kaiba Tsh 100/=.

Naamini mtoto hana hatia na action za baba au mama yake. Anahitaji upendo na kuwa treated kama mtoto.

Na ujue most of these kids ambao wananyanyaswa ndio wanaokujaga kuwabeba hao watoto uliokua unawalea kimayai wakawa mazuzu hadi kwenye maisha.

Mtoto ni mtoto asee
Nani achome pasi mtoto aliyezaliwa kwa bahati mbaya hafu why mnajificha na kusema eti watoto wote wamefiwa lazima walelewe simuwapeleke ophanage centre huku mitaani watu wanazaa Wala hawajafiwa na wanaonekana na wanataka wasaidiwe kulea watoto kilazima, ka hyo ni roho mbaya basi Mimi namzidi shetani
 
Mimi mwenyewe moyo mzito mno kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu Yani ni ngumu mno labda nirogwe lakini kwa hizi akili zangu Big No.
 
Mtoto wa mume wangu aliyezaa nje kabla ya kunioa na nikamfuata kwa bibi yake tukaishi naye na alikuwa sababu ya kuvunja ndoa na hata baada ya baba yake kufariki bado anasumbua

Next week naenda kwenye kesi.

It's better kujihami mapema. Kila mtoto akae na mama yake.
Sio tu kujihami hao watoto husumbua sana mwanaume akifa so mama kuwa makini na kuandaa mazingira wa wanako uliowabeba mimba kwa kuwawekea mambo vizuri huyo wa nje atakuja kupambana hewa na mamake
 
Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
kuna moja hapa jirani Dar alimwekea mwekea mtoto sumu kwenye chai ,baadaye hospital ikaonekana chai ndo Ina sumu lakini imekwaje wakwake hajafa wakati wote aliwahudumia pamoja mezani
 
Sababu zinazoweza palakea usingle father ni nyingi zaid ya unavyofikria. Na mtu anaposema anaitaji upendo kwa mtoto wake haina maana huyo muolewaji ampende mtoto wake wa kambo sawa sawa na anavyo mpenda mme wake la hasha bali anaitaji kuona mtoto akilelewa kama mtoto, wam-treat kama mtoto tena mtoto wake wa kuzaa na sio kuonyeshea chuki ambayo itamjenga mtoto vibaya, kama ni kuadhibiwa bas aadhibiwe kama mtoto nasio kifanyiwa violence, nk.sio hvyo unavyo sema usifananishe familia na maisha ya uboyfriend na girlfriend, familia inajengwa na more love than romancy (sina maana romantic moments zife)

Wewe ni binadam usifananishe na kuku ndio maana uwez kubar baba au ndugu yako akupande kisa kuku wanafanya hvyo
Unajua kupenda mtoto wa mtu ni moyo wa kuzaliwa nao sio amri ya mume/mke? Unajua mtoto asiye wako utamtreat kawaida kabisa kama wako lakini haridhiki, na sa zingine hata baba wa mtoto haridhiki, unaweza kuadhibu mtoto kawaida baba akaona umenyanyasa, aaghhrrrr
 
Pole Huwa inatokea sana hio !
Samahani hivi hili tako ni lako?
JamiiForums423254885.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom