Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Na likija swala la kupenda watoto wa masingo maza ukomentigi hivi hivi.
 
Point kabisa....nashangaaka ata masingle maza oh mie mwanaume akitaka kutulia na mie ampende mtoto wangu mie nimependa mbususu yako hayo ya mtoto ya nini tena.

Tukiambiwa tusizae hovyo hovyo nje ya ndoa tunajiadai wajuaji kumbe mafala tuu.
Duh...hii kaunta atak si mchezo..umepiga kwenye mshono
 
Duuuuh cariha u are something else,, some sort of a little monster
Mm na c* tumelelewa na our step father,, from the time she was 13 and i was 9,,,

i was a disgusting little creature,,, f*ckng crazy, a rebel, i was a pinch away to be neglected by the community,, remember i was fckn 9,,

but NEVER hajawah nichukia he did everything he could so niwe kwa mstari,,, kuna muda he sold his work PC just for hospital bills for my sister na hyo ni mwaka 2009 na hakuw biological daughter

Sikuwah kupendwa na yeyote kwa jamii
nimelala polisi mara ya kwanza akaja kunibail yeye mwenyew,, we are not his biological kids,, but you won't know that hata ukae na familia yetu for 1000 years,,maybe tukwambie sisi

Mm sio biological son wake but i walk, talk like him even a sarcastic smile yake,, hajwah nichukia, hawz kukubali ukimuuliza but everyone in the family knows kuwa i am his favorite son

Wewe na hata yako kwa mtoto asiye wako ni chuki na haiko verified with any reason utatoa,, hata kama unaweza kujifungua huwezi kuwa Mom,, wewe ni mother


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh cariha u are something else,, some sort of a little monster
Mm na c* tumelelewa na our step father,, from the time she was 13 and i was 9,,,

i was a disgusting little creature,,, f*ckng crazy, a rebel, i was a pinch away to be neglected by the community,, remember i was fckn 9,,

but NEVER hajawah nichukia he did everything he could so niwe kwa mstari,,, kuna muda he sold his work PC just for hospital bills for my sister na hyo ni mwaka 2009 na hakuw biological daughter

Sikuwah kupendwa na yeyote kwa jamii
nimelala polisi mara ya kwanza akaja kunibail yeye mwenyew,, we are not his biological kids,, but you won't know that hata ukae na familia yetu for 1000 years,,maybe tukwambie sisi

Mm sio biological son wake but i walk, talk like him even a sarcastic smile yake,, hajwah nichukia, hawz kukubali ukimuuliza but everyone in the family knows kuwa i am his favorite son

Wewe na hata yako kwa mtoto asiye wako ni chuki na haiko verified with any reason utatoa,, hata kama unaweza kujifungua huwezi kuwa Mom,, wewe ni mother


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu manzi ni mbinafsi , mchoyo anaroho mbaya usipime na anajiona yupo sawa tu
 
Duuuuh cariha u are something else,, some sort of a little monster
Mm na c* tumelelewa na our step father,, from the time she was 13 and i was 9,,,

i was a disgusting little creature,,, f*ckng crazy, a rebel, i was a pinch away to be neglected by the community,, remember i was fckn 9,,

but NEVER hajawah nichukia he did everything he could so niwe kwa mstari,,, kuna muda he sold his work PC just for hospital bills for my sister na hyo ni mwaka 2009 na hakuw biological daughter

Sikuwah kupendwa na yeyote kwa jamii
nimelala polisi mara ya kwanza akaja kunibail yeye mwenyew,, we are not his biological kids,, but you won't know that hata ukae na familia yetu for 1000 years,,maybe tukwambie sisi

Mm sio biological son wake but i walk, talk like him even a sarcastic smile yake,, hajwah nichukia, hawz kukubali ukimuuliza but everyone in the family knows kuwa i am his favorite son

Wewe na hata yako kwa mtoto asiye wako ni chuki na haiko verified with any reason utatoa,, hata kama unaweza kujifungua huwezi kuwa Mom,, wewe ni mother


Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nahic kulea watoto wawe wako au sio wako hususan wa mwenza wako inahitaj busara na kujitoa kama watoto wako sabb unapowaonyesha upendo nawenyew watakupenda na utawatengenezea hali ya kujiamn tofaut na kuwanyanyasa unawap hofu ndio wengin hukimbia makwao na kuanza kuwa ombaomba
 
Mwanamke ambaye anaweza kuchukia wazazi wako walio kuzaa kweli unafikiri anaweza kumpenda mtoto uliyezaa nje ya ndoa? wewe una shida kabisa....wewe utakuwa uongelei wanawake wewe hahahaha
 
Mtoto wa mume wangu aliyezaa nje kabla ya kunioa na nikamfuata kwa bibi yake tukaishi naye na alikuwa sababu ya kuvunja ndoa na hata baada ya baba yake kufariki bado anasumbua

Next week naenda kwenye kesi.

It's better kujihami mapema. Kila mtoto akae na mama yake.
Duuuh pole sana.
 
Toto korofi sawa hapo sitii neno ila kama una machuki yako kama ya mama ya kambo huo ni ujinga mkubwa kumchukia mtoto ambae aliletwa duniani bila idhini yake.Kwani alipenda kuzaliwa then wazazi wake waachane.
WANAWAKE WA KIBONGO WENGI NI MAGAIDI UNAWEZA MKUTA MMAMA AMA MDADA NYUMBANI KWAKE ANAMNYANYASA MTOTO AU DADAWA KAMBO ALAFU JUMAPILI ANA NENA KWA LUGHA HADI MACHOZI YANAMTOKA AKILILIA HURUMA YA YESU.pumbafuuu
 
Na nyie mmezidi kutubebea mimba bila ya sisi kutaka mtoto.Unalikuta li msichana kisa limekuona una gari na ka nyumba basi linaamua livae mabomu kwa kukubebea li mimba lisilo pangwa.Hapo limesahau kuwa umeliomba uchi na sio Mimba.
Ma sichana ya kibongo mavivu kujitafutia maisha yanawaza kuolewa kwa kumzalia mtu kisa ana maisha yaani mimba imekuwa kama mtego wa kutangaziwa ndoa.Tena usiombe ukutane na mi sichana yenye rangi nyeupe mivaa vimini na ile yenye mitako sampuli hizi mbili ndo zinaongoza kutengeneza misichana isio na akili za maisha.Mawazo yao kuuza mikoba kumbe inatafuta wanaume.@Dinazarde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom