The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 1,118
- 2,230
Afya ya akili ni muhimu sana, ajitafakariKataa ndoa ulinde afya yako ya akili
Afya ya akili ni muhimu sana, ajitafakariKataa ndoa ulinde afya yako ya akili
Sioni shida hapo
Ni mwanaume lia lia, utakuta ni ki last born kilicho oa.Ukipitia vzuri wasifu wa mtoa maada, Utaona shida ipo tena Kubwa.
Ni swala la muda tu, Kuna mmoja ataiki mwingine atatoka
Humu tumesema sana lakini kamwe hamuelewi.Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Nyie ndio mliokuwa na biashara ya solar Kariakooo au...Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
RED Flags! Shukuru MUNGU amekuonyesha mapema ya kuwa unaishi na mwanamke wa aina ganiNinahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Hauna mke hapoNinahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Huyo ni mshirika mwenzako kwenye kuijaza dunia (kama mna watoto.) Lakini sio mke.Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu