Mke wangu ananipa mashaka

Mke wangu ananipa mashaka

Hii ndiyo shida ya kuvamia majini barabarani, sasa limtu linataka biashara binafsi halafu mtaji utoke kwako wewe!, huyo atakuwa amejaza maji kichwani kama siyo mtoli wa viazi na ulojolojo wa ndizi mbivu.
 
Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri

Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )

Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.

Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli

Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia

Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Humu tumesema sana lakini kamwe hamuelewi.

Kitendo cha kumpa hata hiyo biashara ya familia asimamie mwenyewe utakuwa umeivunja ndoa yako kwa 88%

Japo hata sasa usipompa huo mtaji ndoa itakuwa shaka shakani kwa 62%
(Makadirio ya % kulingana visa kama vyako) maana atahongwa na bwanyenye limped mtaji au limrubuni machine nawewe!


Nini cha kufanya.

Kubali kupoteza au kupata mwambie achague kulea watoto(familia) na uhakikishe hata hela ya ped anakuomba wewe.

Au umwambie kama hawezi kulea watoto mlango uko wazi kama haitamfaa aone nini kitakuwa na manufaa kwake.

Mwambie hata biashara ya familia hafai tena kuisimamia maana amepoteza sifa(mbinafisi).

Anza kufanya kama Akon kuanzia jioni hii mali zako andika watoto ama mama yako hakikisha unamiliki laki7 saba tu.

Cha mwisho na muhimu sana ACHA UJINGA mwanamke sio ndgu yako.
 
Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri

Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )

Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.

Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli

Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia

Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Nyie ndio mliokuwa na biashara ya solar Kariakooo au...
 
Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri

Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )

Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.

Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli

Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia

Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
RED Flags! Shukuru MUNGU amekuonyesha mapema ya kuwa unaishi na mwanamke wa aina gani
 
Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri

Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )

Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.

Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli

Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia

Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Hauna mke hapo
 
Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri

Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )

Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.

Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli

Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia

Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Huyo ni mshirika mwenzako kwenye kuijaza dunia (kama mna watoto.) Lakini sio mke.

Na ukijichanganya tu ukaugua hata wiki nzima bila kutoka, hakuna rangi utaacha kuona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom