:angry: "Kijana amekumbwa na Mkasa, Mke wake alianza na Kumtuma Baba mkwe aje kwa mume wake waongee matatizo ya Ugomvi wao, bila hata taarifa. Unafungua ofisi unaenda kwa bossi unarudi unakuta baba mkwe amekaa mezani kwako toka Mkoani na begi. Baada ya hapo Mke nae amegeuza ofisi ndio sehemu ya kusuluhisha matatizo ya Nyumbani.
"Dunia ina Mengi"
"Dunia ina Mengi"