cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,481
Tafuta pesa afungue biashara yoyote auze vitu ajiendeleze na kusevu pesa kisha aondoke. Hapo ni pagumu haswa kama na yeye anafanya hayo yote huku una housegirl.. kiaina fulani shemeji yako ana uchokozi fulani anautenda.. labda anakupenda ila hawezi kukuambia. Mtafutie mtaji muanzishie biashara uache kuhudumia kila kitu.. yaani ameka kwako bure hata pesa ya chupi utakuwa unamnunulia wewe.. duh!!!
Umevuka mipaka na kwanini unamtoa yeye out bila kwenda na mkeo pia... unatatizo inabidi ujipange.. shemeji yako mgomvi sana anatamani maisha ya mkeo. Ni HATARI fikiria
Umevuka mipaka na kwanini unamtoa yeye out bila kwenda na mkeo pia... unatatizo inabidi ujipange.. shemeji yako mgomvi sana anatamani maisha ya mkeo. Ni HATARI fikiria