Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

Ila ana point ujue. Hivi nawe jiulize, mwanamke atamsubiri mme wake kwa miaka saba bila kunyanduliwa?
Hakika jibu ni hapana. Sasa akienda kufanya nje Kuna hatari wakabeba jumla, au wakachanganya uzazi, mume anakuja kutoka jela anakuta toto la mwanaume mwingine.
Wakati huyu baba mdogo akila shemeji atakula kwa Nia ya kumsaidia kaka, kumwondolea nyege na upweke shemejie, baasi
Wewe ukute ndugu yako kamnyandua mkeo utachekelea si utamwàmbia bora angeenda nje! Kama ni maradhi si mnaondoka wote!
 
Mke hivyo vitu hafanyi. Acha wifi yake amfundishe.
Unajua sababu ya mmewe kuswekwa huko! Je kama na yeye alichangia! Kwani kabla ya yeye kufika alimfundisha nani, huyo mwanaume hajielewi bado hajatokota kuwa mme.
 
Wewe ukute ndugu yako kamnyandua mkeo utachekelea si utamwàmbia bora angeenda nje! Kama ni maradhi si mnaondoka wote!
Sasa ntajuaje. Naamini itabaki Siri Yao. Ila ukiiweka kwenye mizani, ni heri wa ndani kuliko wa nje.
Humuhumu JF Kuna story ya bwana mmoja aliyepotea miaka kadhaa huku nyuma ameacha mke Tena kijana.
Wazee wakaamua mdogo wake ndiye amtunze shemeji kumpunguzia msongo wa mawazo.
 
Ingawa ni muda mrefu sana umepita tokea huu uzi kuanzishwa ila mimi ningependa kujua kati ya mke na shemeji nani ana chura kubwa?
 
Usimtoe shemej ako na usiruhusu mke aende.
Cha msingi hapo ni kumuekea huyo shemej limits.
Huko anakoenda atajifkuzisha mwenyewe kama hutombadilisha
 
Huyo mkeo msenge sana
Umekuwa dhaifu
Wadau nawasalimu,

Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,

Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.

Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami
 
Duuh! Ngoma nzito hii. Mi naona kinachotaftwa hapo kinajulikana.. je huyo shemeji mtu ataweza kuvumilia miaka saba yote bila kukuguswa kweli???
 
Wadau nawasalimu,

Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,

Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.

Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.

Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.

Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.

Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.

Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.

Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mm uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji,
Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.

Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.

Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.

Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.

La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mm huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.

Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.

Msaada wa haraka unahitajika
Huyo nataka kulipiza kisasi, anataka ufukuze familia ya kaka yako ili naye alete familia ya kwake kutoka kijijini. Wanawake siku zote ni watu wa shari sana.
 
Ila ana point ujue. Hivi nawe jiulize, mwanamke atamsubiri mme wake kwa miaka saba bila kunyanduliwa?
Hakika jibu ni hapana. Sasa akienda kufanya nje Kuna hatari wakabeba jumla, au wakachanganya uzazi, mume anakuja kutoka jela anakuta toto la mwanaume mwingine.
Wakati huyu baba mdogo akila shemeji atakula kwa Nia ya kumsaidia kaka, kumwondolea nyege na upweke shemejie, baasi
Kwahyo solution ni kumuonjesha shemeji yake au sijakuelewa??
 
Wewe ni mshamba... Maana unampa nafasi kubwa shemeji kuliko mkeo. Ushalala nae ama unamtaka? Why shemeji akimbilie kukupokea na kukuandalia chakula wakati mkeo yupo nawe unaona ni sawa? Mkeo yupo sahihi sana kukasirika..pia huyo shemeji yako nae ana kiburi na dharau kwa mkeo na bila shaka anakutawala... Kuwa makini na uishi kiume ili kulinda ndoa yako..
 
Na kama tokea zamani ulikubali kuishi na mkeo akiwa hakupokei getini wala kukuandalia chakula na majukumu hayo akayakaimu kwa dada wa kazi, endelea na staili hiyo hiyo ya maisha.. na huyo shemeji yako asijifanye mwalimu wa mahusiano hapo kwako.. akae kwa kutulia na aache maisha yaendelee kama alivyoyakuta.
 
Sasa ntajuaje. Naamini itabaki Siri Yao. Ila ukiiweka kwenye mizani, ni heri wa ndani kuliko wa nje.
Humuhumu JF Kuna story ya bwana mmoja aliyepotea miaka kadhaa huku nyuma ameacha mke Tena kijana.
Wazee wakaamua mdogo wake ndiye amtunze shemeji kumpunguzia msongo wa mawazo.
Sasa shemeji wenyewe wawe wanaeleweka ukute mme ndiye anatazamika hao wengine punda dada angeweza kukubali?
 
Akatafute nje huko
Yaani hapo nakuhakikishia jamaa lazima ameshamla au atamla tu huyo shemeji yake maana mazingira aliyoelezea yanaonesha kuwa anataka au alishatimiza hilo suala, sasa anajiuliza kifuatacho ni nini.... ina maana kauliza swali indirectly na ktk majibu ya wadau lazima atapata la kwake la kujifariji ama kuendelea kumgegeda kwa umakini au kuacha.
 
Acha Tamaa na mke wa ndug yako jitahidi umtreat mke wako Kama mke na shemeji Kama Shem otherwise unaharibu
 
Mkuu tupe mrejesho..hii issue iliisha vipi?
Wadau nawasalimu,

Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,

Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.

Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.

Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.

Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.

Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.

Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.

Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mimi uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji, Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.

Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.

Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.

Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.

La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mimi huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.

Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.

Msaada wa haraka unahitajika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom