Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,016
- 3,694
Yaani amfukuze mke wake yeye aishi na shemeji yake huo utakuwa ujinga. Kinachotakiwa kama wazazi wapo wampeleke huyo mwnamke huko akawasaidie yeye abaki na watoto wa kaka yake, lasivyo nyumba itakuwa inawaka motoFukuza yeye hana adabu ufukuze ndugu zako huko mkeo ovyo saaana mwambie mi sijapenda kbs
Sent using Jamii Forums mobile app