bombom
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 614
- 228
O Negative? are you sure? Jitahidi usipungukiwe damu mkuu... maana ikitokea hivyo, utapata shida kweli kumpata wa kukupa damu.nina grop o negative
O Negative? are you sure? Jitahidi usipungukiwe damu mkuu... maana ikitokea hivyo, utapata shida kweli kumpata wa kukupa damu.nina grop o negative
'parapanda italia parapanda...parapanda italia parapanda...hiyo parapanda.....'
Ndugu angalia usije imbiwa huo wimbo aisee! Huyo hakupendi kama angekupenda angekulinda. Angekwambia ukweli kabla hamjaoana.
Ila Mungu ni mwema...amekulinda kwa muda wote huo. Sasa vile umejua basi huenda ulinzi wa Mungu kwako ukakoma maana sasa Mungu atakuacha uamue mwenyewe...kujiponya au kufa!
Unaweza kujilala kitandani ukazinduka kumbe umemlalia nyoka. Ni Mungu amekuponya! Sasa ukiamua kuendelea kulala na nyoka wakati tayari umemuona eti Mungu ataendelea kukulinda...pole,...utakuwa unamjaribu Mungu!
kwakweli kikubwa kabla sijaoa nilikuwa naamini ndoa ya mke mmoja..sasa hali ya ndoa imenichanganya mno. ndoa za kikristu sijui kama jambo hili watakubali tuachane..kama yupo pastor au padri humu anieleweshe tafadhali. Kingine mwenyewe anafikiri kuwa siwezi kupata ugonjwa kabisa jambo ambalo si kweli hata madaktari hawaniakikishii hilo. na pia ushauri wa daktari kuwa nimlainishe sana ni jambo ambalo pia sio la asilimia mia kukwepa tatizo nina hali ngumu wandugu.
Huyo ni.muuaji na ht kidini sidhani km inaruhusiwa...amekubali kuolewa ilhali akijijua ni mgonjwa.ni bora angeupata mshafunga ndoa..nenda kwa viongozi wa dini wakupe ushauri fasaha...na kwa hapo nadhani talaka yaweza tolewa...sio vzr ni uuaji huu
Nimeoa januari 2013 ndoa ya kanisani na tulipima ila nadhani mke wangu alifahamiana na madokta,mwezi uliopita nimegundua anatumia ARV toka april 2013.
Nimepima mara nyingi sina virusi hata leo nimepima. Yeye ananipenda ila nimeingia hofu naogopa mno hata kumgusa.
Nifanyeje wakuu?
story kama hizi uwe unatupia na picha bac ya vyeti kujaribu kutuconvice... Yani uone mke wako mwaka mzima unaisha anatumia ARV afu wewe umetoka mzima??? Bac tunakuhitaji kama kama laboratory specimen yaweza kua wewe ndo tiba ya ngoma tuliyokua tunaisubiri
"hata leo nimepima"!! hii sentensi inafanya thread yako yote kua invalid
Mahesabu mengine mwenyezi mungu anajua!!!Mleta mada amesema kwamba, ameoa mwezi wa kwanza mwaka 2013, aligundua kuwa mkewe anatumia ARV's mwezi wa tatu mwaka huo huo, yaani miezi miwili baada ya ndoa.
Mkewe akakili kuwa ni kweli ni muathirika tena kabla hajaolewa, daktari alichezea vipimo.
Kwaiyo kuanzia mwaka 2013 nyie mnatumia protection tuu?
Kama ni hivyo ata mtoto mmoja hamjapata.sio?
Nimeoa januari 2013 ndoa ya kanisani na tulipima ila nadhani mke wangu alifahamiana na madokta,mwezi uliopita nimegundua anatumia ARV toka april 2013.
Nimepima mara nyingi sina virusi hata leo nimepima. Yeye ananipenda ila nimeingia hofu naogopa mno hata kumgusa.
Nifanyeje wakuu?
Pole ndugu usiwe na wasi wapo wanandoa wengi wanaishi na kuzaa watoto na huku mme au mke ana vvu.Kama hajakuamvukiza muda wote huo basi ujue si rahisi kukuambukiza tena usihofu
Hapo ndipo kile kiapo cha
"Kwa shida na raha" kinapoonekana....
Nimeoa januari 2013 ndoa ya kanisani na tulipima ila nadhani mke wangu alifahamiana na madokta,mwezi uliopita nimegundua anatumia ARV toka april 2013.
Nimepima mara nyingi sina virusi hata leo nimepima. Yeye ananipenda ila nimeingia hofu naogopa mno hata kumgusa.
Nifanyeje wakuu?