innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 750
Huwa unawaona wapi?
Tuongee ukweli
Mmoja wapo c huyu jamaa anayemwelezea hapaa
Huwa unawaona wapi?
Tuongee ukweli
hvyo my lawyer wale wanaojamiiana na wenye vvu inakuaje sasa?
mi nlikua my friend alikua anadate na mwenye vvu mpk wakapata hadi mtoto
mdada kaja kujua km yuko na vvu mtoto ana 3yrs
akaenda kupima yeye na mtotl wake wote hawana
yule baba ndo akakiri kua ni victim na mkewe ni marehemu
nimekuelewaKwa sababu mbengu hazibebi..virusi vya ukimwi kuna uwezekano mtoto kuzaliwa bila virusi na hata kama mama na baba wangekuwa navyo mtoto anaweza kuzaliwa mzima!
Baba kuwa na virusi na Mama kukosa au Mama kuwa na virusi na Baba kukosa hii inatokea kabisa na nina ushuhuda kabisa lakini haina uhusiano na kutotokea kwa michubuko..au idadi ya bao! Kuna Baba fulani nilikuta nae sehemu yeye alipata virusi toka mwaka 90 lakini mkewe hadi leo hana virusi..hii utokea lakini ni nadra maana wanasema kuna watu hawana CD4cells ambazo ndio chakula cha virus hivyo virusi haviwezi kusurvive ..
possible hasa wale bao moja tu
na km huna michubuko
Mamy hii ngumu kumeza chungu kutema hainingii akilin kwa kweli[/QUOTE ]
possible kabisa tena huna michubuko ndo kabisa
au wale bao moja tu hoi
Mmmmmmmh
Si kweli ! Yani uhitaji michubuko ili upate virusi vya ukimwi! Kitendo cha mwanaume kuingiza uume kwenye uke kinatosha kusababisha maambukizi!
Unatakiwa kujua maji maji yanayo beba virusi vya ukimwi kwanza.
-Ute wa uume
-Damu
-majimaji ya uke
-Shahawa
-Maziwa ya mama
Hivyo huitaji bao mbili au michubuko kupata virusi!
Mmoja wapo c huyu jamaa anayemwelezea hapaa
Mmh... kwani shahawa ndio mbegu yenyewe au zinatumika kusafirisha mbegu?Kwenye shahawa si kweli. Ndio mana baba na mama waweza kuwa waathirika lakini mtoto akatoka mzima
Kwenye shahawa si kweli. Ndio mana baba na mama waweza kuwa waathirika lakini mtoto akatoka mzima
Sasa huyo umemuona wewe??
Acha utoto, sio unaongea tu mradi nawe umeonekana. Unahukumu usivyovijua.
kuna uwezekano alipata maambukiz akiwa ndani ya ndoa. kama anauwezo wakuficha jambo hilo kuna uwezekano mkubwa alizini akiwa ndani ya ndoa
Nimekumbuka kitu,katika story story na marafiki tumewah kuongelea kitu kama hiki...
Mtu anaweza kujamiiana na mtu mwenye HIV na asiupate huo ukimwi.
Watu wa namna hiyo wanaitwa carriers(not sure of the spelling).mnakua na vijidudu ila havionyeshi.ILA VIPO.its like they are invisible but they exist in your blood.
mimi napenda sana kuangalia taarifa ya habari usiku sasa muda huo huutumia kwenda kumeza dawa toka 2013..na kanipa maelezo ya kutosheleza bila kudanganya kuwa toka namuoa ana vvu na madokta aliwapanga waseme hana
mimi napenda sana kuangalia taarifa ya habari usiku sasa muda huo huutumia kwenda kumeza dawa toka 2013..na kanipa maelezo ya kutosheleza bila kudanganya kuwa toka namuoa ana vvu na madokta aliwapanga waseme hana