mimi napenda sana kuangalia taarifa ya habari usiku sasa muda huo huutumia kwenda kumeza dawa toka 2013..na kanipa maelezo ya kutosheleza bila kudanganya kuwa toka namuoa ana vvu na madokta aliwapanga waseme hana
Kama u salama yakupasa kushukuru
Hiyo ndoa olikiwa null.and void ab initio. Una ground zote za kumtaliki na kuoa mwingine. KANISA linatambua hiyo mkuu
Kama am not mistake kuna baadhi ya watu kwenye cells zao wana ccr 5 na wengine hawana ccr5 au co-receptor 5 ni important to hiv replication ni elimu ndefu nitakuja izungumzia one day ok ila inawezekana kabisa ukawa na mtu hiv pos na wewe usipate i have mifano mi 3 activeNimekumbuka kitu,katika story story na marafiki tumewah kuongelea kitu kama hiki...
Mtu anaweza kujamiiana na mtu mwenye HIV na asiupate huo ukimwi.
Watu wa namna hiyo wanaitwa carriers(not sure of the spelling).mnakua na vijidudu ila havionyeshi.ILA VIPO.its like they are invisible but they exist in your blood.
Kwaiyo kuanzia mwaka 2013 nyie mnatumia protection tuu?
Kama ni hivyo ata mtoto mmoja hamjapata.sio?
Refer to your vows. Hakuna cha kuogopa. Huyo mi wako mpaka kifo.
How the *** is it possible?? Kisaikolojia tu ngumu!!itabidi ufanye juu chini ili kupata ushauri ;namna gani ya kujikinga na endapo mtahitaji mtoto mjue jinsi ya kujilinda na VVU dhidi ya mtoto
Hapo kwenye receptor ushaniacha mbali Sana...hiyo one day ikifika ntaelewa Labda..Kama am not mistake kuna baadhi ya watu kwenye cells zao wana ccr 5 na wengine hawana ccr5 au co-receptor 5 ni important to hiv replication ni elimu ndefu nitakuja izungumzia one day ok ila inawezekana kabisa ukawa na mtu hiv pos na wewe usipate i have mifano mi 3 active
Na ingekua wewe ndio umekutwa nao? na yeye akusanye akuache... !!! haijakukuta hivyo huwezi kujua cha kufanya, yakikukuta ndio utajua unakusanya vitu au unabaki na mwenzio uliyeapa kwa shida na raha...
Ok cul nitakupa elimu ndefu kidogo ujue ila ni cd195Hapo kwenye receptor ushaniacha mbali Sana...hiyo one day ikifika ntaelewa Labda..
pumbavu sana unadhani wenye ukimwi ni wa kona bar tuUlioa demu wa kona bar?
Wachana nae...huyo mwanamke ni muuaji. Plus inawezekana kuivunja hyo ndoa hata kama ni ya kanisani. I'm sure of it, hata bible ilishaeleza such circumstances. Ongea vizuri na viongozi wa dini wakupe muongozo.
Kwahiyo dume zima unarudi kwenu kwenye ugali wa filimbi kwa wazazi? Au umejiweka nafasi ya mwanamke?nimejarb kuvaa kiatu chake bt nimeshindwa
sijaua kwetu....nakusanya kilicho changu narudi kwetu sijaua
Kwahiyo dume zima unarudi kwenu kwenye ugali wa filimbi kwa wazazi? Au umejiweka nafasi ya mwanamke?