mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
ushauri wa dactari ni muhimu kwako, endapo atakueleza kua huwezi kupata vvu lazima akufafanulie na ufahamu, pole sana
nimeoa januari 2013 ndoa ya kanisani na tulipima ila nadhani mke wangu alifahamiana na madokta...mwezi uliopita nimegundua anatumia ARV toka april 2013. nimepima mara nyingi sina virusi hata leo nimepima. yeye ananipenda ila nimeingia hofu naogopa nmo hata kumgusa. nifanyeje?
pole sana mkuu,naomba kujua una-group gani la damu
ninachojua mm MTU akitumia arvs si rahis kuambukiza ilimradi msichubuane tuNimekumbuka kitu,katika story story na marafiki tumewah kuongelea kitu kama hiki...
Mtu anaweza kujamiiana na mtu mwenye hiv na asiupate huo ukimwi.
Watu wa namna hiyo wanaitwa carriers(not sure of the spelling).mnakua na vijidudu ila havionyeshi.ILA VIPO.its like they are invisible but they exist in your blood.
Ndo maana.nina grop o negative
Kwahyo umeamuaje?
Kwa ushauri wangu binafsi mrudishe kwao kwasababu amekudanganya ambalo ni kosa la kukugharimu maisha.
nina grop o negative
ninachojua mm MTU akitumia arvs si rahis kuambukiza ilimradi msichubuane tu
Mh jamani sas mlikua mna do aje auna kinga kwamiaka yote hiyo mh
style zao si zile mbuzi kagoma!!
nimeoa januari 2013 ndoa ya kanisani na tulipima ila nadhani mke wangu alifahamiana na madokta...mwezi uliopita nimegundua anatumia ARV toka april 2013. nimepima mara nyingi sina virusi hata leo nimepima. yeye ananipenda ila nimeingia hofu naogopa nmo hata kumgusa. nifanyeje?