Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,153
Daaaaa hawa wanawake hawa na usikute alishawapa ht hao madokta papuchi
Wanaoficha wenza wao kuhusu hali ya maambukizi ni wanawake peke yao?
Daaaaa hawa wanawake hawa na usikute alishawapa ht hao madokta papuchi
Nimekumbuka kitu,katika story story na marafiki tumewah kuongelea kitu kama hiki...
Mtu anaweza kujamiiana na mtu mwenye HIV na asiupate huo ukimwi.
Watu wa namna hiyo wanaitwa carriers(not sure of the spelling).mnakua na vijidudu ila havionyeshi.ILA VIPO.its like they are invisible but they exist in your blood.
'parapanda italia parapanda...parapanda italia parapanda...hiyo parapanda.....'
Ndugu angalia usije imbiwa huo wimbo aisee!
Matumizi sahihi ya ARVs yanapunguza maambukizi kwa asilimia kubwa sana ndio maana anayetumia hizo dawa anaweza kujamiiana na mtu asiye na maambukizi bila huyo mtu kuathirika. Tiba na tafiti za VVU zimefika mbali sana sasa.
Tuwe tunajitahidi hata kwenda kwenye semina zinazohusu VVU, maofisini, kanisani, vyouni na kadhalika.
Nimegundua watu wengi hatuna elimu sahihi juu ya VVU ingawa tunafikiri tunajua. Kama ulienda semina miaka miwili iliyopita sasa kuna taarifa mpya nyingi sana hivyo ni vyema kupata elimu hiyo tena.
Tujitahidi pia kutembelea tovuti kama za UNAIDS na nyingine kama hizo
Hakuna uhusiano.Kuna uhusiano gn kt ya blood group, rhesus factor na maambukizi ya Vvu? Naomba kueleweshwa.
mimi napenda sana kuangalia taarifa ya habari usiku sasa muda huo huutumia kwenda kumeza dawa toka 2013..na kanipa maelezo ya kutosheleza bila kudanganya kuwa toka namuoa ana vvu na madokta aliwapanga waseme hana
Kweli kabisa mkuu.Watu wengi tena hapa jukwaani hawana kabisa elimu juu ya ukimwi na virusi vya ukimwi na wamebaki kudanganyana hapa..muda mwingine huwa nashangaa nikiona comment za baadhi ya watu linapokuja swala la Ukimwi na virusi vya ukimwi! Watanzania tuna uvivu sana tena usio na tija.
Wanaoficha wenza wao kuhusu hali ya maambukizi ni wanawake peke yao?
Upande wangu naona n wanawake tu .cjui ww unaona ni wakina nani?
Umechanganya madesa...
Hakuna uhusiano.
Elimu ya ukimwi ni pana sana ila wengi tunaielewa kidogo sana.
Ulioa demu wa kona bar?
Nimekumbuka kitu,katika story story na marafiki tumewah kuongelea kitu kama hiki...
Mtu anaweza kujamiiana na mtu mwenye HIV na asiupate huo ukimwi.
Watu wa namna hiyo wanaitwa carriers(not sure of the spelling).mnakua na vijidudu ila havionyeshi.ILA VIPO.its like they are invisible but they exist in your blood.
Ndugu nengunia
kuna mada humu ndani inazungumzia Uhusisno wa HIV na AIDS.
Kwa mujibu hiyo debate ni kuwa hakuna uhusiano wowote kati HIV na AIDS.
Ni kweli mke wako anaweza kuwa na Aids lakinni si kwasababu ya HIV.
Naomba u Google The AIDS Debate utapata maelezo ya kina yatakayo weza kuokoa familia yako.
Oh!embu naomba unichanganulie nisije nikawa naendelea kulisha watu matango pori
Vipi, una kibamia nini. Ngoma haiingii taiti! La sivyo ungeshanasa.
Ni nini hapa unazungumzia???
Labda wengine wamekuelewa.