Mke wangu ana VVU

Mke wangu ana VVU

Tatizo letu tumeweka pesa mbele.Kuna mradi tulifanyia survey kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii.Kwenye kuhamasisha watu ili kupata elimu wanajitokeza wengi.Wakija tu wakikuta patupu hakuna posho wanaponda sana na kuwakatisha tamaa wengine.

Kazi ipo.
 
Kuna uhusiano gn kt ya blood group, rhesus factor na maambukizi ya Vvu? Naomba kueleweshwa.

Hakuna uhusiano wowote hayo ni maneno ya watu wasio na elimu sahihi..nenda kaperuzi usipotoshwe
 
Umesha sema ana wana vijidudu halafu papo hapo unasema havionekani...sasa hebu jiulize umejuaje ana virusi.

Hapo kwenye red jiulize anakuwa amebeba nini? Hizo ni story za vijiweni!
Huyo mtu anakuwa na virusi sema kinga zake za mwili zinakuwa na nguvu na anakuwa anatumia ARVs na anapokutana na mtu amabye hana virusi ni rahisi mtu huyo kuugua mapema na kufa maana virusi vinatabia ya kubadilika vinapo kutana na mtu anaye tumia ARVs na vina vaa sura ya kupambana na ARVs sasa vikikutana na mtu ambaye hatumii na hana maambukizi na kwakuwa vinakuwa vimekomaa ni rahisi mtu huyo kuugua na kufa mapema kama kinga yake haiko imara! Sasa ndio hapo hayo majina ya carriers yalizuka kuonesha kuna watu wana virusi lakini wana survive na wanao tembea nao wana kwenda na maji!

Kwa case ya mume kukosa virusi na mke anavyo inatokea kabisa ..pengine kuna watu hawana CD4cells..maana virusi haviwezi kukaa sehemu ambapo hakuna CD4cells ambazo ndizo chakula chao n ni ngumu kuwa gundua watu wa namna hii!

Asante sana kwa mchango wako na maelezo yako.yameeleweka
Shukrani.
 
Tatizo letu tumeweka pesa mbele.
Kuna mradi tulifanyia survey kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii.
Kwenye kuhamasisha watu ili kupata elimu wanajitokeza wengi.
Wakija tu wakikuta patupu hakuna posho wanaponda sana na kuwakatisha tamaa wengine.
Kazi ipo.

Sio tuu mpaka wajitokeze yani mtu anashindwa kugoogle tuu akapata elimu kuhusu ukimwi na virusi vya Ukimwi!
Yani unaweza kushangazwa kuna vijana hadi leo wanaamini kuwa ili mtu apate virusi lazima kuwepo na michubuko na wengine wanaamini mtu kuwa na kibamia ni tiketi ya kutopata virusi vya Ukimwi! ina shangaza.
 
Kuna blood group haipati VVU?
Ipi hiyo na kwa nini?

Blood group O si rahisi ipate maambukizi kutoka kwa blood groups zengine bcoz of the ABO antigen Lkn anapata maambukizi kutoka kwa fellow blood GRP member
 
Nenda kwenye website ya google halafu tafuta The AIDS Debate uta pata maelezo kamili.

Kwenye hiyo debate walidanganyana sana hapo ni sawa na kusema hakuna uhusiano kati ya virusi vya ukimwi(HIV)na UKimwi(AIDS)
 
Blood group O kinga ipo juu inatapa vvu ndio ila vinakuwa hafifu mwilini

Si kweli kabisa! Hakuna uhusiano kabisa kati ya blood group na Maambukizi lasivyo yangekuwa kwa kiwango kidogo sana duniani!

Hakuna blood group ambayo hiko safe kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi! Usidanganyike tafuta taarifa sahihi!
 
possible hasa wale bao moja tu
na km huna michubuko

Si kweli ! Yani uhitaji michubuko ili upate virusi vya ukimwi! Kitendo cha mwanaume kuingiza uume kwenye uke kinatosha kusababisha maambukizi!

Unatakiwa kujua maji maji yanayo beba virusi vya ukimwi kwanza.

-Ute wa uume
-Damu
-majimaji ya uke
-Shahawa
-Maziwa ya mama

Hivyo huitaji bao mbili au michubuko kupata virusi!
 
Si kweli kabisa! Hakuna uhusiano kabisa kati ya blood group na Maambukizi lasivyo yangekuwa kwa kiwango kidogo sana duniani!

Hakuna blood group ambayo hiko safe kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi! Usidanganyike tafuta taarifa sahihi!

Blood GRP O ipo safe kiasi mkuu coz si rahisi kuambukizwa na MTU ambae hawalingani antigens Fanya research utanipa jibu ABO ANTIGEN FACTOR
 
Uongo ni kitu kibaya sana. Tangu 2013 hadi leo mtu kakudanganya kwa kuficha status yake ya HIV? Huyo hafai kwa kuwa ni muuaji.

Mshukuru mungu hajakuambukiza. Ningekuwa mimi ningemuacha tena kwa talaka tatu. Ni mbaya sana huyo dada...!!
 
Blood GRP O ipo safe kiasi mkuu coz si rahisi kuambukizwa na MTU ambae hawalingani antigens Fanya research utanipa jibu ABO ANTIGEN FACTOR
Si kweli katafute taarifa sahihi! Kumbuka hapa tunaongelea virusi vya UKIMWI!
Mkuu nina kuhakishia unacho sema si kweli na sihitaji kufanya research kwenye hili! Tafuta popote walio andika hayo ulete hapa!
 
Si kweli katafute taarifa sahihi! Kumbuka hapa tunaongelea virusi vya UKIMWI!
Mkuu nina kuhakishia unacho sema si kweli na sihitaji kufanya research kwenye hili! Tafuta popote walio andika hayo ulete hapa!

Endelea kubisha nimekupa hint uliza daktari wako atakueleza
Google Why is it not easy for a blood group O person to be infected by a blood GRP A or AB person
 
Question: Is there a relationship between genetics and HIV resistance?
.Answer: Some people are, in fact, genetically at greater risk of HIV infection than others.
.The first genetic mutation associated with HIV susceptibility was identified in the mid 1990s. Known as the CCR5-Delta32 mutation, it seems to confer strong resistance to infection by HIV. This gene mutation is found most commonly in certain
European populations, possibly because it was also associated with resistance to other diseases such as smallpox or the Bubonic Plague.
.In early 2009, a paper was published announcing that another genetic mutation may also confer some level of resistance to HIV. This mutation affects the level of expression of a protein known as Pk. Pk is found on the surface of several types of blood cells, including a wide range of cells that are susceptible to
HIV infection. This small study found that cells with high levels of Pk were significantly harder to infect with HIV than cells with no Pk. The same scientists have also published a study showing that individuals with a condition (Fabry's disease) that
.See Also: What You Should Know About HIV and AIDS
increases their levels of Pk seem to be resistant to one type of HIV.
.Note: The 2009 study has been heavily publicized as saying that your blood type can protect you against HIV. Pk is a way of typing blood, but it is not commonly used and not part of either the A/B/O or Rh typing systems. Furthermore, the study in question only looked at in vitro susceptibility and their earlier study in people only found resistance to one type of HIV. Therefore it is important not to overstate the results of the study. It seems likely that people with mutations that increase the amount of Pk will be more resistant to HIV than people with lower levels of Pk, and this information may potentially lead to new types of HIV therapeutics, but to say that blood type can protect against HIV infection is grossly premature.

.Sources:
Lund N et al. "The human Pk histo-blood group antigen provides protection against HIV-1 infection." Blood. 2009 Jan 12. Epub ahead of print
Lund N et al. "Lack of susceptibility of cells from patients with Fabry disease to productive infection with R5 human immunodeficiency virus." AIDS 2005; 19: 1543-6.
Galvani AP & Slatkin M. "Evaluating plague and smallpox as historical selective pressures for the CCR5-Delta 32 HIV-resistance allele." Proc Natl Acad Sci U S A. 2003 Dec 9;100(25):15276-9.
Dean M et al. "Genetic restriction of HIV-1 infection and progression to AIDS by a deletion allele of the CKR5 structural gene. Hemophilia Growth and Development Study, Multicenter AIDS Cohort Study, Multicenter Hemophilia Cohort Study, San Francisco City Cohort, ALIVE Study." Science. 1996 Sep 27;273(5283):1856-62.
 
Sasa inamaana we mda wote huo ulikua unatumia kinga au ilikuaje mpaka ujapata
 
Si kweli ! Yani uhitaji michubuko ili upate virusi vya ukimwi! Kitendo cha mwanaume kuingiza uume kwenye uke kinatosha kusababisha maambukizi!

Unatakiwa kujua maji maji yanayo beba virusi vya ukimwi kwanza.

-Ute wa uume
-Damu
-majimaji ya uke
-Shahawa
-Maziwa ya mama

Hivyo huitaji bao mbili au michubuko kupata virusi!

hvyo my lawyer wale wanaojamiiana na wenye vvu inakuaje sasa?
mi nlikua my friend alikua anadate na mwenye vvu mpk wakapata hadi mtoto
mdada kaja kujua km yuko na vvu mtoto ana 3yrs
akaenda kupima yeye na mtotl wake wote hawana
yule baba ndo akakiri kua ni victim na mkewe ni marehemu
 
Endelea kubisha nimekupa hint uliza daktari wako atakueleza
Google Why is it not easy for a blood group O person to be infected by a blood GRP A or AB person

Hongera Daktari wako alikufundisha vizuri.
 
Back
Top Bottom