Mke wangu ame hack simu yangu

Mke wangu ame hack simu yangu

Samahani, ame hack simu yako au ameitrack no yako ya simu?
Kama ame hack simu yako unaweza ukaiflash tu ila kama ameitrack no yako ni kipengele
Nafikir atakuwa ame track number zangu
 
Hakuna haka wa namna hy bongo unless kuwe na app imekua installed bila wewe kujua ila nachohisi mimi kahack akili yako mkuu na umeingia kwenye mtego mazima tuliza akili tu kamanda
 
Hakuna haka wa namna hy bongo unless kuwe na app imekua installed bila wewe kujua ila nachohisi mimi kahack akili yako mkuu na umeingia kwenye mtego mazima tuliza akili tu kamanda
Ame hack kwani kuna baadhi za msg na voice call ana nitumia.. kama justification kwamba ananinyka
 
Ame hack kwani kuna baadhi za msg na voice call ana nitumia.. kama justification kwamba ananinyka

Basi lazima kuna app kwenye simu yako inarecord hvyo vitu ichunguze cm yako vizuri kama kuna app hujawahi install wewe kua nayo na mashaka ikiwezekana ifute
 
Basi tuu...
Ana ongeza uaminifu kwako mkuu...
Sioni kama ni kosa
yaani hujui tu huwa vina nikera balaaa aisee kwamana hata ni inshu tu Za deal za hapa na pale umepiga ..ukapata maokoto kidogo ...anakuchomekea hebu nitumie ten ukimwambia ramani hazisomi anatuma transcation za Mpesa au tigo pesa ulizofanya ....na kiasi kbs ...sasa hapo ona sasa
 
Basi lazima kuna app kwenye simu yako inarecord hvyo vitu ichunguze cm yako vizuri kama kuna app hujawahi install wewe kua nayo na mashaka ikiwezekana ifute
Nimechek hkn kaka
 
yaani hujui tu huwa vina nikera balaaa aisee kwamana hata ni inshu tu Za deal za hapa na pale umepiga ..ukapata maokoto kidogo ...anakuchomekea hebu nitumie ten ukimwambia ramani hazisomi anatuma transcation za Mpesa au tigo pesa ulizofanya ....na kiasi kbs ...sasa hapo ona sasa
Daah hapo anazingua sasa..
Kaa chini muongee au fanya uchunguzi kwa simu yako kuna vitu inabidi ufunge...🤓🤓🤓
 
Nunua simu mpya na line mpya, nunua I phone imasecurity nzuri kwa maoni yangu
 
Back
Top Bottom