Mke wangu ame hack simu yangu

Mke wangu ame hack simu yangu

Mimi mwaka 2017 nilinujua note 8 kwa 1.9 mil ya gb 128 na ram 6..mke wangu alikuwa anatumia finger scanner ku unlock kila siku .yaani yeye analala saa nne,mimi ile nikilala saa tano anaweka kidole inafunguka ana kagua yote.mwaka 2018 ilivunywa kabla ya mwaka kuisha iliniuma mpaka leo. Niliacha kutumia finger print kama security.ni mwendo wa kubadili passwold kila baada ya muda tu.
 
DHUMUNI lake muachaneee...kwa hiyoo mpe anachokitakaa
 
Mke wangu ame hack simu yangu kila jambo ninalofanya anajua nifanyeje?

Mapenzi yamepungua kutokana na yeye kudai kwamba nina mawasiliano na mademu wengi.

Sasa nashindwa la kufanya ...yeye chakushangaza hajawahi kushika simu yangu na hatuishi pmj kwa sasa kwa sababu za kikazi lkn kila kinachofanyika kwenye simu ana sema anajua na nimekuja kuona kwamba ni kweli anajua.

Sasa sijui dhumuni lake ninini?
Huna akili
 
Mke wangu ame hack simu yangu kila jambo ninalofanya anajua nifanyeje?

Mapenzi yamepungua kutokana na yeye kudai kwamba nina mawasiliano na mademu wengi.

Sasa nashindwa la kufanya ...yeye chakushangaza hajawahi kushika simu yangu na hatuishi pmj kwa sasa kwa sababu za kikazi lkn kila kinachofanyika kwenye simu ana sema anajua na nimekuja kuona kwamba ni kweli anajua.

Sasa sijui dhumuni lake ninini?
POLE na wewe hack yake mbona mimi nimehack ya cocastic ?
 
Back
Top Bottom