Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,143
- 3,226
Unatumia simu aina gani mkuu kwanza
Ivi Application nzuri ya kuhack ni ipi na mimi ni mhack
Aah kama unatumia Samsung (ingawa ina fuction kwa Android phone)Samsung kaka
Ila si naskia hazina uwezo kuhack WhatsApp?Hapa hata ingekuwa wewe ....yale ma application si ypo tu yanauzwa praystore jomba ....?
Basi tumia WhatsApp tu kwa calls na SMS... HakupatiNafikir atakuwa ame track number zangu
Mkuu hivi WhatsApp mtu anaweza hack akasoma msgs? Niliskia kwa WhatsApp huwa haiwezekani1. Angalia whatsApp web kama iko connect, disconnect.
2. Check your social media for listed active or log devices then consider to Change your social media password and enable 2FA.
3. Be loyal and faithful, Very important.
4. Taja aina ya simu unayotumia nikupe possible ways anazocheck mawasiliano yako kwa normal text
Ukifuatilia utagundua SMS au calls anazozinyaka sio za WhatsApp. Tumia WhatsApp kwa mawasiliano ambayo unataka mtu asinyakeSijajua aisee
Mwambie utamshtaki Kwa Kuingilia Mawasiliano yako BinafsiMke wangu ame hack simu yangu kila jambo ninalofanya anajua nifanyeje?
Mapenzi yamepungua kutokana na yeye kudai kwamba nina mawasiliano na mademu wengi.
Sasa nashindwa la kufanya ...yeye chakushangaza hajawahi kushika simu yangu na hatuishi pmj kwa sasa kwa sababu za kikazi lkn kila kinachofanyika kwenye simu ana sema anajua na nimekuja kuona kwamba ni kweli anajua.
Sasa sijui dhumuni lake ninini?
Ku hack kuna namna nyingi, ukiniachia simu yako, nika scan whatsApp yako, na kama hauko makini ni rahisi tu, nakua naona kila kitu kwenye whatsApp webMkuu hivi WhatsApp mtu anaweza hack akasoma msgs? Niliskia kwa WhatsApp huwa haiwezekani
WhatsApp ni rahisi zaidi kuwa hacked hata kuliko normal calls & texts.Mkuu hivi WhatsApp mtu anaweza hack akasoma msgs? Niliskia kwa WhatsApp huwa haiwezekani
Okay, me nipo mkuu nilikua nakusalimia tuNoma
Nikisemea hp wataanzisha PDF