Mke wangu ame hack simu yangu

Mke wangu ame hack simu yangu

Samsung kaka
Aah kama unatumia Samsung (ingawa ina fuction kwa Android phone)
Hasa series za S. Mtu aliekaribu na wewe anaweza kusoma text zako, kuangalia picha za simu na pia ku mirror screen yako akaona kila unachofanya ( hii mirroring sasa hivi ina limitation lakini yawezekana mtu akiwa karibu)

Kwenye Samsung kuna features inaitwa LinktoWindow
Screenshot_20231002-212529_Chrome.jpg

Kama feature hii iko on, ingia kwenye setting, angalia iko connect na computer gani,

Mtu akiconect kwenye computer anaweza kukufatilia na kuona kila text inayoingia na call, pale tu unapowasha data.
 
Ok Asante kaka, nitafatilia perpendicular
 
1. Angalia whatsApp web kama iko connect, disconnect.

2. Check your social media for listed active or log devices then consider to Change your social media password and enable 2FA.

3. Be loyal and faithful, Very important.

4. Taja aina ya simu unayotumia nikupe possible ways anazocheck mawasiliano yako kwa normal text
Mkuu hivi WhatsApp mtu anaweza hack akasoma msgs? Niliskia kwa WhatsApp huwa haiwezekani
 
Mke wangu ame hack simu yangu kila jambo ninalofanya anajua nifanyeje?

Mapenzi yamepungua kutokana na yeye kudai kwamba nina mawasiliano na mademu wengi.

Sasa nashindwa la kufanya ...yeye chakushangaza hajawahi kushika simu yangu na hatuishi pmj kwa sasa kwa sababu za kikazi lkn kila kinachofanyika kwenye simu ana sema anajua na nimekuja kuona kwamba ni kweli anajua.

Sasa sijui dhumuni lake ninini?
Mwambie utamshtaki Kwa Kuingilia Mawasiliano yako Binafsi
 
Mkuu hivi WhatsApp mtu anaweza hack akasoma msgs? Niliskia kwa WhatsApp huwa haiwezekani
Ku hack kuna namna nyingi, ukiniachia simu yako, nika scan whatsApp yako, na kama hauko makini ni rahisi tu, nakua naona kila kitu kwenye whatsApp web
 
Amehack? !!!
How is this possible? Sio rahisi ujue....neno hacking huwa sijui mnalichukuliaje mjue.
Okay huoni anakusaidia maana yake uache umalaya.
 
Back
Top Bottom