Mimi nilikuwa na mchumba mkoa wa mbali na ninapoishi, kilichotokea demu akawa ananipa stori za kujua kila ninachofanya, na kweli unakuta nina appointment na demu mwingine then huyo mchumba ananipigia na kuniambia nisiende ninapotaka kwenda mana alishajua.
Nikaenda mpaka ofisi za mtandao ninaotumia wakaniambia hakuna chochote kwenye simu yangu, nikamtafuta jamaa mmoja mtaalamu wa kudukua, tukadukua namba yake tukakuta anayempa siri zote ni msenge mmoja tulikuwa tunaishi nae geto enzi hizo.
Nilipiga chini wote.