Mke wa ndoa na Housegirl nani mtamu?

Status
Not open for further replies.

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,426
1,456
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
 

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,207
8,692
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?

Suala unalotaka kusema kuhusiana na housegirl kuchukuliwa na baba wenye nyumba ni kwamba lipo!.Hawana utamu wowote wa kumzidi mywife, Ila sababu kuu ni kwamba HAWANA GHARAMA, ndio maana inakuwa rahisi kuwalamba!..
Lakini pia wako available muda wote hata pale mywife anapokuwa labda kasafiri au analea!(nimeamua kuwa mkweli bana...sitauma maneno hapo")
 

Genekai

R I P
Feb 9, 2010
12,520
4,966
Ni mtazamo tu, you don't need to compare, tulia na mkeo. In some cases we don't need to be inquisitive. Sometimes you can venture and never come back!
 

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
220,745
728,548
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?

Mbona kimya..........jibu haya maswali acha kigugumizi....................................
Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?
 

bucho

JF-Expert Member
Jul 13, 2010
5,055
2,966
beki tatu ucpime kitu kisude , wife unakuta ameshapigana vita vingi na ana watoto ths y .
 

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
50,170
72,054
Kumbe wewe mpwa unafikiri jibu sahihi ni lipi? kwangu mie nadhani itategemea zaidi kiwango chako cha uzinifu tu! kama unaweza tembea na HG wako possibly waweza tembea na changu na wake za watu, not good!!!
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,110
ndo maana mi nimeamua nitulie tuliii na NYANZALA wangu..mambo ya beki tatu mara midifildi mara winga sio kabisa
 

chanai

JF-Expert Member
Oct 9, 2010
279
1
Wewe hizo takwimu nyingi umezipata wapi? Kama housegirl kavunja ndoa yako basi wewe una matatizo na unafaa kusaidia kisaiklojia na maombezi.
 

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,566
2,815
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?

vya kuiba vitamu hasa kama hukukamatwa! mbaya uibe mara moja halafu ugeuze fani!:A S embarassed:
 

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,273
1,021
inapofikia mahala unamkompea mkeo na HAUSGELI dah!....

hata chama chetu cha I.S.C hakuruhusu kabisa
 

Wakuchakachua

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
346
9
na huku akina mama tunasema mmmh kumbe ma houseboy ni watamu kuliko mume wa ndoa..............safi hiyo :yield::yield:mambo ya twanga kotekote
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom