Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
dah...mada nyingine bana....:doh:
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
mkuu sometimes nakukubali kishenzi ila duuuu!inapofikia mahala unamkompea mkeo na HAUSGELI dah!....
hata chama chetu cha I.S.C hakuruhusu kabisa
lazima unikubali weweeeemkuu sometimes nakukubali kishenzi ila duuuu!
lazima unikubali weweeee
wakati wa U.E engineering mechanics ulikuwa unadesa kwangu!mi ndo nimeshikilia ki-degree chako
ha ha ha!Wewe ni mhandisi?
ha ha ha!
unauliza midevu kwa OSAMA mpwa?
hahaha!Mhandisi wa nini wewe?