Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,681
- 3,329
Kwa uchunguzi wangu mdogo hii imeshakuwa shida kubwa kwa ndoa nyingi sasa.
Watu wangu kadhaa wa karibu wamenilalamikia. Wanaume ndo wamekuwa wahanga wakuu wa kugomewa penzi na wenza wao.
Unakuta mke na mume wanatoka nyumba moja lakini kumbe humo ndani hakuna kinachofanyika.
Inaanzaga mwanamke anakupa yote wkt bado hamjaoana lakini mkifunga ndoa tu anagoma kutoa penzi kwa visingizio vya hapa na pale mara hajisikii mara hayuko sawa.
Sasa namna hii michepuko itaisha kweli?
Wakuu nini kifanyike?
Watu wangu kadhaa wa karibu wamenilalamikia. Wanaume ndo wamekuwa wahanga wakuu wa kugomewa penzi na wenza wao.
Unakuta mke na mume wanatoka nyumba moja lakini kumbe humo ndani hakuna kinachofanyika.
Inaanzaga mwanamke anakupa yote wkt bado hamjaoana lakini mkifunga ndoa tu anagoma kutoa penzi kwa visingizio vya hapa na pale mara hajisikii mara hayuko sawa.
Sasa namna hii michepuko itaisha kweli?
Wakuu nini kifanyike?