Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Kwani mwanamke ndiye aliyemchoma kisu?Angepiga na huyo mwanamke
Kwani mwanamke ndiye aliyemchoma kisu?Angepiga na huyo mwanamke
Hao wanawake nao tamaa imezidi.
Hawajui kusema NO
Ndo maana ukaambiwa Haram ndo vitamu.Mtu unawezaje kula mke wa mtu, mbona kinyaa sana aisee 🥸🥸. Ame kweli kuna watu wana akili za kutumia vibaya na wengine wana akili za kutumia vizuri
watu makatili sanaMtu anamla mkeo tena kwenye kitanda chenu mnacholalia.!!!
mie mekuja mbio nkahisi ni yule Nondo wa chama fulanii iviii kumbe sieBado sijaelewa mantiki ya matumizi ya neno Msela nondo.
Au tatizo itakua umri.
Hawa vijana mtu anaandika mada utafikiri yupo kijiweni na wenzake.mie mekuja mbio nkahisi ni yule Nondo wa chama fulanii iviii kumbe sie
unajua mbugani fisi wana umuhimu wao.Mtu unawezaje kula mke wa mtu, mbona kinyaa sana aisee 🥸🥸. Ame kweli kuna watu wana akili za kutumia vibaya na wengine wana akili za kutumia vizuri
Mi nikimfumania mpnz na mwanaume mwingine wote wawili nawazibua chemba kwa zamuAmefanyiwa operation ya kwanza kichwani wiki iliyopita na Jana alifanyiwa operation ya pili,inauma na inaumiza Sana kijana mdogo Sana Ambaye hata miaka 20 hajafikisha Jamani mke wa mtu sumu
Iko hivi,jamaaa alipopata taarifa ya kwamba "msela nondo" anatoka kimapenzi na mke wake alimtafuta na kumuonya na alimtamkia kabisa ya kwamba usipoacha siku nikikufumania ntakumaliza,"Msela nondo"alikataaa katakata
Siku ya siku ikafika,mida ya jioni jamaaa akamuaga mkewe ya kwamba anaenda kuangalia mifugo huko bondeni inakochungwa ambapo Kama kawaida ilitegemewa Angelala huko,hawakujua kuwa siku hiyo ilikuwa mtego
Mkewe bila hiyana akamtaarifu "Msela nondo"kuwa jamaa hatakuwepo usiku hivyo aje, Ni kweli "Msela nondo" akatinga na moja kwa moja wakaanza mchezo
Muda si mrefu mwenye mke akatinga(walikuwa wanamuita boya),kugonga mlango ukaitika moja kwa moja chumbani, uso kwa uso na "Msela nondo"katika Hali ya kujitetea apate nafasi ya kuchomoka "Msela nondo"akamchoma kisu tumboni jamaa mwenye mke (kosa Lingine kubwa alilofanya)
Mwenye mke akashika kiti na kumpiga nacho "Msela nondo"kichwani, Msela nondo akazima,Mwenye mke akaanza kutumia panga kumkata kata "Msela nondo"kila sehemu mwilini,hasa kichwani ambako alikata panga za kutosha,
Mpaka alipohisi ya kuwa amemumaliza kabisa,akambeba juu juu,na kumpeleka kwao"Bahati yake
Tumuombee Msela nondo apone Huenda akapata nafasi ya kujifunza,NARUDIA KUSEMA MKE WA MTU SUMU,INAUMA SANA TENA SANA,NAAMINI AKIPONA HATARUDIA ALICHOKIFANYA.
yan hii ni script ya bongomuvi kabisa yaniTatizo mtu unafumaniwa halafu unaleta ubabe, lazima uumie.
Mtu ukifumaniwa unatakiwa kwanza ujifanye mnyonge ili mwenye mali asiandae nguvu nyingi dhidi yako. Tena akikuambia anaandaa mafuta unainama kabisa uelekeo wa mlangoni, unajifanya kumuomba asikuumize. Huku unakusanya nguvu. Akikupa upenyo ni nduki! Tukutane serikali za mitaa au polisi. Ukifika huko ni kesi, jumba bovu unamwangushia mkewe kwamba hukujua kaolewa. Unashindwa kesi, unaomba msamaha, unalipa faini yanaisha. Kama ni mitaa ya mbali zaidi au mkoa, unatoka nduki hadi bodaboda ya karibu, nduki tena unaunga boda 4 au 5 hivi kupoteza maboya, unawahi basi la kwenu unamtosa huyo manzi mazima, unamwachia msala wake.
Yaani anakula mke wa mtu afu mechi yenyewe aanaipigia away ground ....Kwa host country.Mtu unawezaje kula mke wa mtu, mbona kinyaa sana aisee 🥸🥸. Ame kweli kuna watu wana akili za kutumia vibaya na wengine wana akili za kutumia vizuri
Na sijui ni kwa nini matukio haya yote hayatufunzi🤷♂️watu makatili sana
Ni bora wasiseme no wakiwa single,,lakini upo na mwanaume ndani..jamii yote inajuwa huyu ni mke wa fulani..mnapika mnapakua. Then unatongozwa unadanganya hujaolewa?!Hao wanawake nao tamaa imezidi.
Hawajui kusema NO
Kwa tetesi ina semekana wake za watu wao ndio huwa chanzo cha yote hayo kwa vijana wadogo, ina semekana wao ndio huwatongongoza madogo na hatimae madogo kujilia tunda kimasikhara na madhara yake ndio hayo sasa ni aibu kubwa na ni hasara kwa dogoHao wanawake nao tamaa imezidi.
Hawajui kusema NO
Alichomwa kisu tumbon, kisha akarusha kiti kwa nguvu kilichompata sawia msela nondo baada ya hapo akaanza kumchezeshea mapanga ....ama kweli dunia ina mambo.Amefanyiwa operation ya kwanza kichwani wiki iliyopita na Jana alifanyiwa operation ya pili,inauma na inaumiza Sana kijana mdogo Sana Ambaye hata miaka 20 hajafikisha Jamani mke wa mtu sumu
Iko hivi,jamaaa alipopata taarifa ya kwamba "msela nondo" anatoka kimapenzi na mke wake alimtafuta na kumuonya na alimtamkia kabisa ya kwamba usipoacha siku nikikufumania ntakumaliza,"Msela nondo"alikataaa katakata
Siku ya siku ikafika,mida ya jioni jamaaa akamuaga mkewe ya kwamba anaenda kuangalia mifugo huko bondeni inakochungwa ambapo Kama kawaida ilitegemewa Angelala huko,hawakujua kuwa siku hiyo ilikuwa mtego
Mkewe bila hiyana akamtaarifu "Msela nondo"kuwa jamaa hatakuwepo usiku hivyo aje, Ni kweli "Msela nondo" akatinga na moja kwa moja wakaanza mchezo
Muda si mrefu mwenye mke akatinga(walikuwa wanamuita boya),kugonga mlango ukaitika moja kwa moja chumbani, uso kwa uso na "Msela nondo"katika Hali ya kujitetea apate nafasi ya kuchomoka "Msela nondo"akamchoma kisu tumboni jamaa mwenye mke (kosa Lingine kubwa alilofanya)
Mwenye mke akashika kiti na kumpiga nacho "Msela nondo"kichwani, Msela nondo akazima,Mwenye mke akaanza kutumia panga kumkata kata "Msela nondo"kila sehemu mwilini,hasa kichwani ambako alikata panga za kutosha,
Mpaka alipohisi ya kuwa amemumaliza kabisa,akambeba juu juu,na kumpeleka kwao"Bahati yake
Tumuombee Msela nondo apone Huenda akapata nafasi ya kujifunza,NARUDIA KUSEMA MKE WA MTU SUMU,INAUMA SANA TENA SANA,NAAMINI AKIPONA HATARUDIA ALICHOKIFANYA.
Kwa hiyo sasa maadui wa Taifa niNyege rasmi iingie ktk matatizo ya taifa!!
Hata kama angekuwa mke wangu sifanyi huo ujinga kwa nini nijitafutie matatizo ya kuua na wanawake ni wengiSio mkeo labda