Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

Nidhairi huyo mamapoa hana kazi ya kufanya na mmewe anamjali anakula anashiba wakati Mme wake yuko bize .kama wewe una akiri timamu mshauri amwambie mmewe am keep bize wakati huo uwe unajiandaa kuwa mkeo atafanyiwa hivyo

Aisee usiniachie laana. Huyo mwanamke ndio chanzo. Sio mimi
 
Mida hiyo ya usiku ni mibaya sana kwa wizi kama huo, maana kuna siku jirani mwingine atamwona huo mke akiingia kwako, atamwambia mwenye mke, ambaye kama kawaida atafanya safari fake, halafu arudi usiku na kama ni mfanyabiashara kama mimi, ninao vijana wahuni ambao huwa nawatoa nao wananiita father, material yangu eneo la ujenzi yakiibiwa huwa yanarudhswa bila mimi kuangaika, ninchofanya ni kutoa taarifa tu kuwa pipa langu silioni, asubuhi nalikuta site. Kwa hiyo, nitakachofanya ni kuwaita na kuwambia, nimerudi saa 8 usiku, Mama ......simuoni, hebu jiandae tumtafute.

Nimekuelewa. Sema wanawake wengine hovyo kabisa. Yeye ndio chanzo, kaja geto kwangu na kanga moja, paja lipo nje na pichu hakuvaa
 
Tatizo lenu mnaolala wake wa watu mnatumia madawa ili muonekana mafundi kuliko sie, muulize huyo mwanamke tatizo lake hapati mbo au haridhiki kwa mmewe?
 
Acha ushamba wewe kuchangamkia mtumba,hujui mke wa mtu ni used material? tafuta brand new material ndiyo uje humu jamvini kujisifia.Watu kama sisi tunaokula vitu vipya kila siku tunakuona ww ni outdated person.

Sikumchangamkia. Yeye ndio kanichangamkia
 
Nimekuelewa. Sema wanawake wengine hovyo kabisa. Yeye ndio chanzo, kaja geto kwangu na kanga moja, paja lipo nje na pichu hakuvaa

Hata wewe siku ya kuliwa utakuwa hujavaa pichu na paja litakuwa nje nje....
Subir kutolewa bikira yako...usisahau pia kuja kutuhadithia walikutafuna vipi na ulisikiaje....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom