Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

hujafanya kipya duniani so endelea and remember you will pay for it either utalipa wewe au mtu wako wa karibu atafanyiwa ivo ivo unavofanya wewe..mkeo,mwanao,dadako au yeyote wa karibu atailipa hio dhambi sasa omba asiwe mkeo au mwanao utaumia sana...
 
Ni wiki tatu zimeisha, mke wa jirani yangu aliingia geto kwangu ili nimrushie nyimbo kwenye simu yake. Alikuwa amevaa kanga moja, kakaa kwenye kochi wakati amekaa vibaya.

Nilipata hamu kali nikajikuta nimemparamia na yeye bila hiana akanipokea kwa mahaba nikagundua hajavaa pichu, tukaanzia kwenye kochi then tukahamia kitandani.

Kwa kuwa ilikuwa usiku saa 5 na mumewe alikuwa amesafiri, tuliinjoi hadi alfjiri.Sasa juzi mumewe kasafi, usiku kahamia kwangu.Licha ya kwamba nanogewa, naye pia kashafanya mazoea mumewe akisafiri huhamia kwangu.

Jamani hebu nishaurini, nifanyeje ili mumewe asije akajua.
Endelea nae tu mke wa ni mtamu than u can ever think ...............
Enjoy ur moment with..........
 
Hatajua we endelea hata mchana wa jua kali we endelea tuu
 
Ni wiki tatu zimeisha, mke wa jirani yangu aliingia geto kwangu ili nimrushie nyimbo kwenye simu yake. Alikuwa amevaa kanga moja, kakaa kwenye kochi wakati amekaa vibaya.

Nilipata hamu kali nikajikuta nimemparamia na yeye bila hiana akanipokea kwa mahaba nikagundua hajavaa pichu, tukaanzia kwenye kochi then tukahamia kitandani.

Kwa kuwa ilikuwa usiku saa 5 na mumewe alikuwa amesafiri, tuliinjoi hadi alfjiri.Sasa juzi mumewe kasafi, usiku kahamia kwangu.Licha ya kwamba nanogewa, naye pia kashafanya mazoea mumewe akisafiri huhamia kwangu.

Jamani hebu nishaurini, nifanyeje ili mumewe asije akajua.

Ungeuliza ushauri kabla hujatenda kosa. Kwasababu umeisha fanya kosa basi huna haki ya kuomba ushauri. We tafuta mbinu ya kujificha usifahamike. Ukifahamika hutapata nafasi ya kuomba ushauri. Kumbuka kila jumlisha ina toa.
 
Mods pse, zikija picha mtu kaliwa 0715 naomba msiufungie huo uzi, nna kazi maalum, mniachie!
 
Siku za mwizi zikifika, hakikisha una mafuta ya kulainisha mitambo karibu yako.
 
kwanza nakupa pole xana kk kwa iyo mishe unayofanya make mke wa mtu hafai yani ni sumu kama huamini endelea siku ukishikwa ndo utajua hilo make ukiambiwa ni sumu huamini mpaka itokee ndo utaamini,,,pia fikiria upande wa pili angekuwa mke wako anafanywa ivo ungejisikiaje so kabla hujafanya chochote fungua akili ako, afu je unatumia kinga???make dunia hii sio we haujiulizi kwann alikuja na khanga moko chumbani kwako afu night sasa yawezekana alikuja kukugawaia virus,,mwisho nakushauri mambo mawili kama sio matatu...kama unaendelea andaa hivi vitu
1.ky jelly
2.jiandae kung'olewa meno.

i
 
Inapendeza sn kupiga na kutoka salama ila siku jamaa akikupata kwa chumba na mkewe mkundu mali yake na washikaji.
 
Kuwa mwangalifu, hapo yawezekana mme wake anasoma ramani, siku akikuibukia, mkunddu wako ni wake na masela wake!
Ila vya kuiba vitamu sana, hasa hivi vimke a.k.a wazazi wenza. Nami niko majaribuni kwa sasa, ila shetani mpaka sasa kagonga ukuta. Kuna 'mke' wa mtu jirani hapa, anasumbua kimtindo, mara nim-burnie Cd, mara charger anaomba, mara pasi, na vivazi ndo hivyo hivyo!
Uanaume kazi!

Mkuu we huyo demu akija we kemea tu"kwa jina la YESU shindwa na urudi kwako". Hata kusumbua tena huyo. Lkn uwe wa imani hiyo mkuu.
 
Ni wiki tatu zimeisha, mke wa jirani yangu aliingia geto kwangu ili nimrushie nyimbo kwenye simu yake. Alikuwa amevaa kanga moja, kakaa kwenye kochi wakati amekaa vibaya.

Nilipata hamu kali nikajikuta nimemparamia na yeye bila hiana akanipokea kwa mahaba nikagundua hajavaa pichu, tukaanzia kwenye kochi then tukahamia kitandani.

Kwa kuwa ilikuwa usiku saa 5 na mumewe alikuwa amesafiri, tuliinjoi hadi alfjiri.Sasa juzi mumewe kasafi, usiku kahamia kwangu.Licha ya kwamba nanogewa, naye pia kashafanya mazoea mumewe akisafiri huhamia kwangu.

Jamani hebu nishaurini, nifanyeje ili mumewe asije akajua.

:shocked: OLE WAKO! DAWA NI KUCHANA KABISA NA MCHEZO HUO HATARI! HAKUNA SIRI DUNIANI. YAWEZEKANA MUMEWE KESHAPEWA HABARI, ANASUBIRI SIKU YA KUKUFUMANIA ILI AKUKATE NANII YAKO!
A%20S%20embarassed.gif
 
Mla vyawenzie na vyake huliwa. Shauri yako we jione mjanja tu kwani za mwizi ni arobaini, pia kumbuka hakuna marefu yasiyo na mwisho na siku zote ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Mrejesho nautamani niujue!!!!!!
 
Kuwa makini sana kijana, na wala usijipe mia kwa mia...ipo siku utakuja hapa jamvini huku kichwa cha chini kimesha fanyiwa hohara ya mara ya pili. Be careful! wanasema mke wa mtu ni sumu....shauri yako!
 
Yani kumbe unataka uendelee na wizi wa mke wa mtu acha ujinga wewe hebu wewe ndio ungekuwa huyo bwana aliyesafiri ,,,,,,,
achana na mke wa mtu
 
Nimekuelewa. Sema wanawake wengine hovyo kabisa. Yeye ndio chanzo, kaja geto kwangu na kanga moja, paja lipo nje na pichu hakuvaa

Si unapiga mara moja tu halafu, unaacha a.k.a Hit and Run.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom