Idhae
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 609
- 277
- Thread starter
- #101
Kama kuna kuchezea hatari basi ni kuingilia ndoa ya mwanaume anayesafiri safiri....jamaa anarudi na ungo na mkungu wa ndizi then mama anakugawia hao "insects" kwa raha zake.
Tatizo sijamtongoza, kaja geto kwangu kimitego. Hata ingekuwa wewe ungegegeda tu. Yeye ndio chanzo, lakini mwenye makosa naonekana mimi