Kama unenogewa....endelea, shida ni nini?Licha ya kwamba nanogewa, naye pia kashafanya mazoea mumewe akisafiri huhamia kwangu.
Jamani hebu nishaurini, nifanyeje ili mumewe asije akajua.
Acha ushamba wewe kuchangamkia mtumba,hujui mke wa mtu ni used material? tafuta brand new material ndiyo uje humu jamvini kujisifia.Watu kama sisi tunaokula vitu vipya kila siku tunakuona ww ni outdated person.
siku nyingine nawewe ukalale kwake ufaidi vizuri