Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

Idhae

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
609
Reaction score
277
Ni wiki tatu zimeisha, mke wa jirani yangu aliingia geto kwangu ili nimrushie nyimbo kwenye simu yake. Alikuwa amevaa kanga moja, kakaa kwenye kochi wakati amekaa vibaya.

Nilipata hamu kali nikajikuta nimemparamia na yeye bila hiana akanipokea kwa mahaba nikagundua hajavaa pichu, tukaanzia kwenye kochi then tukahamia kitandani.

Kwa kuwa ilikuwa usiku saa 5 na mumewe alikuwa amesafiri, tuliinjoi hadi alfjiri.Sasa juzi mumewe kasafi, usiku kahamia kwangu.Licha ya kwamba nanogewa, naye pia kashafanya mazoea mumewe akisafiri huhamia kwangu.

Jamani hebu nishaurini, nifanyeje ili mumewe asije akajua.
 
Preta

Ukizingatia anakuja kwangu saa 5 usiku na kuondoka saa 11 alfajiri. Asante kwa ushauri mzuri
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwangalifu, hapo yawezekana mme wake anasoma ramani, siku akikuibukia, mkunddu wako ni wake na masela wake!
Ila vya kuiba vitamu sana, hasa hivi vimke a.k.a wazazi wenza. Nami niko majaribuni kwa sasa, ila shetani mpaka sasa kagonga ukuta. Kuna 'mke' wa mtu jirani hapa, anasumbua kimtindo, mara nim-burnie Cd, mara charger anaomba, mara pasi, na vivazi ndo hivyo hivyo!
Uanaume kazi!
 
umkumbuka ngao..huo mchzo achana nao..usije geuzwa buree!!!na ulivyo handsome sauriyo
 
another individual ''establishing a name'' for himself....
 
Acha ushamba wewe kuchangamkia mtumba,hujui mke wa mtu ni used material? tafuta brand new material ndiyo uje humu jamvini kujisifia.Watu kama sisi tunaokula vitu vipya kila siku tunakuona ww ni outdated person.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom