nigga357
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 325
- 238
Nashangaa braza,mm nazitafuta kichizi yaani.Hz fursa mbona wengne hatuzipati?
Nashangaa braza,mm nazitafuta kichizi yaani.Hz fursa mbona wengne hatuzipati?
Upele humwota asiye na kuchaHz fursa mbona wengne hatuzipati?
nahofia picha kama hiyo inaweza kunitokea,OK!!kwaiyo unanishaurije?Kuna mzee mmoja alimsomesha kabinti fulani chuo kikuu akamwoa.
Wakati wa chuo bidada damu inachemka akawa anajiachia na chalii wa rika yake .
Mzee akaja akashtukia hiyo ishu akaandaa mtego wake akamkuta jamaa na mkewe .
Mzee kwa upole akakaa hiyo meza huku akivua saa na bastola akaweka pembeni
Kisha akamwambia jamaa nakupa nafasi moja ya mwisho tafuta siku utakayopenda mkalane huko ila iwe ni mwanzo na mwisho nikikukuta tena !
Kisha mzee wa watu akaondoka zake
Sijui kama yule jamaa aliweza kutafuta hiyo siku ya mwisho ya kulana
anataka mwenyewe mtarimbo sasa mi nifanyeje?kama kazi mbona zipo nyingi tuYaaani vijana wana mawazo ya eye level jamani...anaweza hata asiwaze kesho yake itakuaje baada ya kulala na mke wa boss leo.
Nahofia kibarua shemeji sina uhakika wa kazi nyingineMgonge wewe si anataka mwnywe ndo mana mnaitwa wanaume wa dar akikutangaza shoga
Aende wp bro?Kimbia mbio tena zile za marathon . Hilo NI balaa kwako.
Hahahahaaa maneno yako yanajichanganya.... Mara kazi zipo nyingi do..mara huna uhakika na kazi nyingine.anataka mwenyewe mtarimbo sasa mi nifanyeje?kama kazi mbona zipo nyingi tu
Nahofia kibarua shemeji sina uhakika wa kazi nyingine
Hujui ule usemi mkuu, "mahindi yanakomaa kwa wenye mapengo"Hz fursa mbona wengne hatuzipati?
akimsemea Na kazi ataikosa, asipomsemea kazi ANAWEZA akaikosa,na akimla KAZI ATAIKOSAMsemee kwa boss.