Mke wa Boss ananitega

Mke wa Boss ananitega

Maisha yakikushinda achana nayo fanya vitu vingine.
 
Kuna mzee mmoja alimsomesha kabinti fulani chuo kikuu akamwoa.
Wakati wa chuo bidada damu inachemka akawa anajiachia na chalii wa rika yake .

Mzee akaja akashtukia hiyo ishu akaandaa mtego wake akamkuta jamaa na mkewe .

Mzee kwa upole akakaa hiyo meza huku akivua saa na bastola akaweka pembeni

Kisha akamwambia jamaa nakupa nafasi moja ya mwisho tafuta siku utakayopenda mkalane huko ila iwe ni mwanzo na mwisho nikikukuta tena !

Kisha mzee wa watu akaondoka zake

Sijui kama yule jamaa aliweza kutafuta hiyo siku ya mwisho ya kulana
Naona mizimu ya kuzimu yanakuandama ...soon jehanamu itakukaribisha..kimbia zinaa ndugu.
 
Habari za time hii wanajamii,

Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.

Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.

Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.
Ww umeshajtambua mapema,thats good for you...so sitegemei uje tena humu kudai umeshagegeda huyo mke wa boss wako
 
Hizo ni hisia zako tu na wala hakutegi bali wewe mwenyewe ndio unajivuruga akili. Kwani kuna siku amewahi kukuombia kuwa anakupenda au ni hisia tu kichwani mwako? hebu elekeza akili yako kwenye kazi na uache mawazo ya kishetani
 
Huyo mwanamke akikuamulia kweli kweli huchomoki.uendelee kupiga kimya kimya au akufukuzishe kazi.sasa hivi bado upo hatua za mwanzoni, muda bado
 
Usisahau kuleta mrejesho hapa pale utakapomgegeda,ukagundulika na kufumuliwa marinda,ila fahamu kua huyo anaweza akufumue ubongo badala ya marinda na huo mrejesho utaupeleka kwa shetani.
 
Habari za time hii wanajamii,

Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.

Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.

Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.

Mdogo wangu TAFUNA HIYO KITU, ila kuwa mwangalifu...
 
Wanasemaga haina ushemeji, deree veepee piga mzigo huo
 
Habari za time hii wanajamii,

Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.

Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.

Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.
Naomba namba yake nikusaidie Ndg yangu
 
Hii story yako ilitakiwa ije cku za mapumziko
 
Back
Top Bottom