Naona mizimu ya kuzimu yanakuandama ...soon jehanamu itakukaribisha..kimbia zinaa ndugu.Kuna mzee mmoja alimsomesha kabinti fulani chuo kikuu akamwoa.
Wakati wa chuo bidada damu inachemka akawa anajiachia na chalii wa rika yake .
Mzee akaja akashtukia hiyo ishu akaandaa mtego wake akamkuta jamaa na mkewe .
Mzee kwa upole akakaa hiyo meza huku akivua saa na bastola akaweka pembeni
Kisha akamwambia jamaa nakupa nafasi moja ya mwisho tafuta siku utakayopenda mkalane huko ila iwe ni mwanzo na mwisho nikikukuta tena !
Kisha mzee wa watu akaondoka zake
Sijui kama yule jamaa aliweza kutafuta hiyo siku ya mwisho ya kulana
Ww umeshajtambua mapema,thats good for you...so sitegemei uje tena humu kudai umeshagegeda huyo mke wa boss wakoHabari za time hii wanajamii,
Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.
Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.
Hahaha sio mimi ndugu yanguNaona mizimu ya kuzimu yanakuandama ...soon jehanamu itakukaribisha..kimbia zinaa ndugu.

Habari za time hii wanajamii,
Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.
Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.
Ha...!!! Sasa itakuwa kama ukichimama Nchale,Ukikaa Nchale na Ukikimbia Nchaleee.akimsemea Na kazi ataikosa, asipomsemea kazi ANAWEZA akaikosa,na akimla KAZI ATAIKOSA
Naomba namba yake nikusaidie Ndg yanguHabari za time hii wanajamii,
Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua na kumpeleka anapotaka tukiwa wawili tu mimi na yeye nguo anazovaa ni full mtego naona hadi pichu ya jana nyeupe, ya leo nyekundu namuheshimu kama boss story anazoniambia ndio zilezile ivi unamke? Mara unamtoto, mara nihamie kwake, tukiwa tunakula mara anikanyage makusudi ilimradi tu visa.
Sasa wikendi ndo ilikuwa balaa badala atoke na mumewe anatoka na mimi aliniambia nimpeleke akaogelee kufika huko ananiambia vua nguo tuoge. Jamaniii! Ni zaidi ya visa kibarua nakipenda lakini ndo hivyo kinaota mbawa. Nikimduu boss akijua si ataniua, achilia mbali kazi ishtoshe mzee mwenyewe pisto kiunoni.
Kichwa cha habari ungeandika "marinda yangu yapo hatarini"